Nimetumiwa picha hizi na mdau alikuwa kwenye research ya nutrition mkoani Kagera kakutana na ukatili wa ajabu dhidi ya mifugo unaofanywa na askari wetu wa wanyama pori eti kisa wamekutwa maeneo ya pori la akiba.
Inasemekana hawa ng'ombe wamewekwa ndani ya shimo lenye tope maeneo ya Rusumo wilayani Ngara na ni mifugo wa watanzania waliokataa kutoa rushwa kwa hivo jamaa wakaamua kuwakomesha kwa kuwafanyia mauaji ya kimbari ng'ombe hao.Hawa ng'ombe wana dhambi gani? na je kweli watanzania tumefikia kuwa watu katili kiasi hiki?
Swali, Mhe.Nyarandu upo wapi? In normal circumstances this is intorelable to flank.
Inasemekana hawa ng'ombe wamewekwa ndani ya shimo lenye tope maeneo ya Rusumo wilayani Ngara na ni mifugo wa watanzania waliokataa kutoa rushwa kwa hivo jamaa wakaamua kuwakomesha kwa kuwafanyia mauaji ya kimbari ng'ombe hao.Hawa ng'ombe wana dhambi gani? na je kweli watanzania tumefikia kuwa watu katili kiasi hiki?
Swali, Mhe.Nyarandu upo wapi? In normal circumstances this is intorelable to flank.
Attachments
-
1398879423178.jpg16.4 KB · Views: 67 -
1398879423829.jpg16 KB · Views: 59 -
1398879424196.jpg16.4 KB · Views: 58 -
1398879426258.jpg16.4 KB · Views: 63 -
1398879428195.jpg15.1 KB · Views: 57 -
1398879429914.jpg14.6 KB · Views: 56 -
1398879430323.jpg13.8 KB · Views: 55 -
1398879430511.jpg13.7 KB · Views: 64 -
1398879430665.jpg16.3 KB · Views: 70 -
1398879431287.jpg14.3 KB · Views: 76