Ukatili wa kintyama dhidi ya mifugo

Ukatili wa kintyama dhidi ya mifugo

Lengwanan

Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
9
Reaction score
2
Nimetumiwa picha hizi na mdau alikuwa kwenye research ya nutrition mkoani Kagera kakutana na ukatili wa ajabu dhidi ya mifugo unaofanywa na askari wetu wa wanyama pori eti kisa wamekutwa maeneo ya pori la akiba.

Inasemekana hawa ng'ombe wamewekwa ndani ya shimo lenye tope maeneo ya Rusumo wilayani Ngara na ni mifugo wa watanzania waliokataa kutoa rushwa kwa hivo jamaa wakaamua kuwakomesha kwa kuwafanyia mauaji ya kimbari ng'ombe hao.Hawa ng'ombe wana dhambi gani? na je kweli watanzania tumefikia kuwa watu katili kiasi hiki?

Swali, Mhe.Nyarandu upo wapi? In normal circumstances this is intorelable to flank.
 

Attachments

  • 1398879423178.jpg
    1398879423178.jpg
    16.4 KB · Views: 67
  • 1398879423829.jpg
    1398879423829.jpg
    16 KB · Views: 59
  • 1398879424196.jpg
    1398879424196.jpg
    16.4 KB · Views: 58
  • 1398879426258.jpg
    1398879426258.jpg
    16.4 KB · Views: 63
  • 1398879428195.jpg
    1398879428195.jpg
    15.1 KB · Views: 57
  • 1398879429914.jpg
    1398879429914.jpg
    14.6 KB · Views: 56
  • 1398879430323.jpg
    1398879430323.jpg
    13.8 KB · Views: 55
  • 1398879430511.jpg
    1398879430511.jpg
    13.7 KB · Views: 64
  • 1398879430665.jpg
    1398879430665.jpg
    16.3 KB · Views: 70
  • 1398879431287.jpg
    1398879431287.jpg
    14.3 KB · Views: 76
Back
Top Bottom