mimi ni mtu
Member
- Oct 17, 2018
- 32
- 44
Ukatili unaondelea kufanywa na fastjet cio wa kufumbia macho yapata wiki nzima ss abiria hawasafir kwa wakati ndege zinaairshwa bila kupewa taarifa
Leo asubh nilitakiwa kusafir kutoka mwanza kwena dar saa mbili asubuh mpaka ss navyoandika saa 21:35 ndege haijulikan inafika saa ngap na tumewekwa tj hapa ndan na hakuna mamalka yoyote inayotujali
Fastjet wanavanha wanavyotaka kila ck wanapaka dafar namuda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza
Serikal na icikiie hawa jamaa wanatutesa kupita kiac
Msafiri aliyetekwa na fast jet toka asubuh mpaka ss
Leo asubh nilitakiwa kusafir kutoka mwanza kwena dar saa mbili asubuh mpaka ss navyoandika saa 21:35 ndege haijulikan inafika saa ngap na tumewekwa tj hapa ndan na hakuna mamalka yoyote inayotujali
Fastjet wanavanha wanavyotaka kila ck wanapaka dafar namuda wao bila kujali abiria ni uhuni uliopitiliza
Serikal na icikiie hawa jamaa wanatutesa kupita kiac
Msafiri aliyetekwa na fast jet toka asubuh mpaka ss