Ndio hapo wananchi walipokuja juu baada ya mtuhumiwa kushinda kesi wakati ushahidi wote ulikuwepo,Ila wameenda kukata rufaaKumbe na kesi ilikwishasikilizwa na kuamuliwa??
Na alishinda vipi kama kulikuwa na ushahidi usio na shaka yoyote..??
Ndio hapo wananchi walipokuja juu baada ya mtuhumiwa kushinda kesi wakati ushahidi wote ulikuwepo,Ila wameenda kukata rufaaKumbe na kesi ilikwishasikilizwa na kuamuliwa??
Na alishinda vipi kama kulikuwa na ushahidi usio na shaka yoyote..??
Kwahiyo hapo awali mashahidi hawakutoa ushahidi au??Ndio hapo wananchi walipokuja juu baada ya mtuhumiwa kushinda kesi wakati ushahidi wote ulikuwepo,Ila wameenda kukata rufaa
Umesema??Nimeisoma hii habari kwenye website ya Geah Habib inasikitisha sanaa halafu mtuhumiwa ameshinda kesi daah
Mtoto anamiaka 4 imetokea mbezi kwa msuguru sio babayake mzazi ni jirani yao kesi imepelekwa mahakamani mtuhumiwa ameshinda kesi.Ingia hapa kuna stori kamili www.geahhabibu.co.tz
Kill him and god will understandHabari wakuu,
Ukatili na unyanyasaji wa watoto unazidi kushamiri kwa kasi sana. Watoto sasa wamekuwa wahanga wa kufanyia vitendo vya kikatili ambayo ni kinyume na katiba na sheria za watoto.
Kuna mtoto ameingiliwa kwa nguvu na baba yake, amebakwa mbele, akaingiliwa nyumba na baba huyo akaona haitoshi akaamua kumalizia mshindo wake mdomoni mwa mtoto na kumlazimisha anywe mbegu za kiume (bao)!
Baba huyo alimwambia mtoto huyo kuwa anywe ni maziwa ya mama yake ni matamu, mtoto alipohoji mbona maziwa (bao) machungu, baba akajibu kuwa anywe atanenepa.
*Wakuu nadhani nimeeleweka, mmeona ukatili huu ambao hata wanyama wakali watatushangaa.
Chanzo: Hekaheka