Ukanda unaenda kuimega Tanzania yetu

Ukanda unaenda kuimega Tanzania yetu

Yodoki II

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
5,517
Reaction score
4,008
Kitendo cha watia nia wote waliotia nia tayari, kufanya hivyo kwenye kanda wanazotoka, naona kitajenga taswira ya ukanda na kuwafanya wananchi kuzingatıa hoja kuwa huyo ndo wetu. Kama ndivyo, Wasıra atakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi. Hii ni hatari kwa utengamano na umoja wa kitaifa. Nadhani wote wangefanya hivyo Dar au Dodoma ama majimboni/vıjijini mwao.
 
Kitendo cha watia nia wote waliotia nia tayari, kufanya hvyo kwenye kanda wanazotoka, naona kitajenga taswira ya ukanda na kuwafanya wapiga kuzingatıa hoja kuwa huyo ndo wetu.Km ndivyo,Wasıra atakuwa kwenye nafasi nzuri zaidı.Hii ni hatare kwa utengamano na umoja wa kitaifa.Nadhani wote wangefanya hvyo Dar au Dodoma ama majimboni/vıjijini mwao.


Wewee watanzania wa sasa sio wale wa zamani.....cku izi hatuangalii hayo hasa kwa kipindi hiki.
Kama wapo ni asilimia ndogo sana.
 
Kama una ukabila ni mawazo yako. ndorooobo wewe
 
Mimi siongei kıshabiki,unaweza eleza ni kwanini Lowasa katangaza nıa Arusha?Wasira Mwanza na Mwigulu Dodoma?
 
umeongea point sana ,lkn kama ilivyo ada ya jamii forum lazima wapingaji wawepo, wenye kuliona hilo ,watalitolea ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom