Ukamataji wa Bodaboda Fire ni hatari

Aljazeera

Senior Member
Jun 27, 2006
128
46
Ndugu
Kuna haka kamchezo kama ka kihuni hivi cha kukamata bodaboda maeneo ya fire.

Ni jambo la hatari sana. Muda huu kuna foleni kubwa fire kisa huu mchezo hala wakamataji naona ni kama wahuni fulani hivi, kwani hurukia pikipiķi au huikamata kwa nyuma bila dereva kuwa na taarifa. Mfano mida hii nusura tuwagonge vijana wawili mwendesha bodaboda na mkamataji.

Ndugu makonda tunaomba uangalie hili swala.
 
Hahaha,kwanini wanadandia hivyo? Au ndio inavyotakiwa wawakamate?
 
Si hapo tu, hata hapa maeneo ya Salenda, hawa jamaa ni shida sana. Nafikiri kutafutwe njia nyingine na si hii wanayotumia.
 
Alag sijajua kwann hili jambo wakuu hawalizungumzii.....ila nafkir ni kamradi ka viongozi kazaa wa polis na ndio maana wameendeleanalo....lingekuwa halina maslahi binafsi wangelishughulikia
 
Back
Top Bottom