arnold_kavishe
Member
- Jul 9, 2015
- 13
- 1
Habari wanaJF,
Naomba kuuliza, hivi kwanini watu wanapenda kuleta ukabila kwenye mambo ya siasa? Utasikia Raisi hawezi kutoka kanda ya Kaskazini, utasikia wengine hawawezi kuongozwa na watu wa Kanda ya Ziwa. Sasa hapo tuelewe lipi?
Tuacheni ukabila kwenye mambo ya siasa jamani. Tukubaliane na hali iliyopo na kwenda kupiga kura kwa mtu stahiki.
Ni hayo tu nawasilisha..
Naomba kuuliza, hivi kwanini watu wanapenda kuleta ukabila kwenye mambo ya siasa? Utasikia Raisi hawezi kutoka kanda ya Kaskazini, utasikia wengine hawawezi kuongozwa na watu wa Kanda ya Ziwa. Sasa hapo tuelewe lipi?
Tuacheni ukabila kwenye mambo ya siasa jamani. Tukubaliane na hali iliyopo na kwenda kupiga kura kwa mtu stahiki.
Ni hayo tu nawasilisha..