mchambawima1
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 2,487
- 738
aksante tena sana!! team jMali huwa wanatuzinguwa sana... sasa mbona habari za hivi huwa hawazizungumzii kama kweli mlishawapa uraia wa Bongo? lazima mjiulize kwa nini wao 24/7 ni kuvamia habari za Rwanda tu... jibu ni obvious "masalia ya Interahamwe"Hapa kwetu mkurugenzi wa usalama wa taifa imran kombe aliuwawa, tena hapahapa bongo eneo lake la kujidai, sembuse kukamatwa kwenye nchi za watu!!