Habari wana jamii form, naombeni msaada wenu nataka kujiajiri kwa kuanzisha biashara ya cement, naombeni mtu mwenye ujuzi na biasharahii anipe mongozo na wapi ninaweza pata simenti kwa bei ya jumla, naombeni ushirikiano wenu
Habari wana jamii form, naombeni msaada wenu nataka kujiajiri kwa kuanzisha biashara ya cement, naombeni mtu mwenye ujuzi na biasharahii anipe mongozo na wapi ninaweza pata simenti kwa bei ya jumla, naombeni ushirikiano wenu