Wewe unaanza kunishawishi nimtafute mumama hawa watoto wa afu mbili hawana dili🤗Ngoja tuwaulize na hawa wanaume wengine Shyshka Reinhardt na secretarybird - eti hii ni kweli 👆
Wewe uko vizuri katika Kila engo.Ngoja tuwaulize na hawa wanaume wengine Shyshka Reinhardt na secretarybird - eti hii ni kweli 👆
Ngoja waje wakupe mwongozo 🤗Ngoja tuwaulize na hawa wanaume wengine Shyshka Reinhardt na secretarybird - eti hii ni kweli 👆
Kwani wewe ni kuku mpaka utagiwe ?Kwanza kwanini unaniita “Mwamba” 🤣🤣🤣🤣
Walilizoea sana Mshangazi nikachoka kuwa natagiwa tagiwa 🙈.
Tumegoma kuzeeka 😅uvivu wa kulea wajukuu
Kwani kuku pekee ndiyo wanataga?K
Kwani wewe ni kuku mpaka utagiwe ?
Fanya kitu roho yako inapenda 😅🤭Wewe unaanza kunishawishi nimtafute mumama hawa watoto wa afu mbili hawana dili🤗
Ndiyo, kwani kuna viumbe wengine wanaotaga tofauti na kuku 🧐😯Kwani kuku pekee ndiyo wanataga?
Mishangazi haijawahi kuniangusha😋Fanya kitu roho yako inapenda 😅🤭
Ndiyo wapo, nyoka wanataga, chura, samaki etc 🤣🤣🤣🫢Ndiyo, kwani kuna viumbe wengine wanaotaga tofauti na kuku 🧐😯
Sawa, mi nakutakia kila la heri kwenye kujilia raha 😋😊Mishangazi haijawahi kuniangusha😋
Ahsante kwa elimu, sikujua enewei kwahiyo nyoka ndo amekutagia wewe au ni kasamakiNdiyo wapo, nyoka wanataga, chura, samaki etc 🤣🤣🤣🫢
Unanichosha ujue 🤣🤣🤣Ahsante kwa elimu, sikujua enewei kwahiyo nyoka ndo amekutagia wewe au ni kasamaki
Ujue unanichosha 😎😸Unanichosha ujue 🤣🤣🤣
Wewe uko vizuri katika Kila engo.
Ova 😎😎😎
Ka-argue na mwalimu wangu wa KiswahiliUjue unanichosha 😎😸