Ujumbe kwa wanawake

Mkuu huu ujumbe umekua maumivu kwa kina dada we angalia mda ulioupost halafu angalia na wachangiaji avilingani ingekuwa mambo mengine ungekuta kurasa zaid ya mia sasa lakini kwa kuwa ni mambo ya maana ki uhalisia lakini wao wanaona si yamaana lakini najua wachangiaji tu ndio hawachangii lakini wanaisoma ki100 ki100 😱😱😱😱😱
 
Mnachukua madada powa wanaoshindia chapati za mama ntilie na soda watajulia wapi kupika?
Mpk unampeleka kwenu hata humjui, unadhani anaaibika peke yake? Na wewe unayepeleka mwanamke wa hivyo kwenu unapata aibu tena unaonekana unaendeshwa nae ndugu hawatamsema huyo dada tu na wewe utang'ong'wa sana, "yaani ujanja wake wote kakamatwa na mwanamke hajui hata kupika mvivu n.k ". Kama unampenda muelekeze, aibu ni kwenu wote wawili hata ukimwacha baada ya hiyo introduction.
 
Bils shaka una vinasaba na wahindi...!
 
Jamaa nakumbuka alimwacha msichana.mzuri sana kwa sababu hajui hata kupika chai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…