Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,957
- 93,938
Mkuu mimi ni kampuni lazima nitoe huduma nzuri kuna tofauti na wale wa chini ya mti. Mimi nakupa na warranty mkuu sifanyi kazi kwa kubahatisha. Polish vipi? Gari haijafubaa bado
Rangi ipo fresh mkuu