johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Sitashangaa ikitokea namna yoyote Mbowe na wenzake wakawa huru na kurejea uraiani
Popote pale duniani ili haki itendeke ni lazima Mungu aingilie kati, japo Chadema hawajafanya maombi maalumu kwa ajili ya mwenyekiti wao lakini Freeman Mbowe na wenzake yawezekana wanaomba kama Paulo na Silla huko gerezani.
Malaika wa Mungu alimtokea mke wa Pilato ndotoni.
Kwanini hakumtokea Pilato mwenyewe?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote.
Popote pale duniani ili haki itendeke ni lazima Mungu aingilie kati, japo Chadema hawajafanya maombi maalumu kwa ajili ya mwenyekiti wao lakini Freeman Mbowe na wenzake yawezekana wanaomba kama Paulo na Silla huko gerezani.
Malaika wa Mungu alimtokea mke wa Pilato ndotoni.
Kwanini hakumtokea Pilato mwenyewe?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote.