johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nauliza tu kwa sababu Zitto Kabwe amekuwa akihudhuria hii kesi pale mahakama ya mafisadi na kila wakati amekuwa akidai Mbowe aachiliwe kwa sababu hii kesi ni ya kubumba.
Maalim Seif ni mhanga wa kuwekwa gerezani mara kadhaa kutokana na harakati zake za kisiasa hivyo niliamini katika kongamano hilo ni sehemu sahihi ya kuzungumzia kwa kifupi kadhia anayopitia rafiki wa maalim Seif aliyeko gerezani Freeman Mbowe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Maalim Seif ni mhanga wa kuwekwa gerezani mara kadhaa kutokana na harakati zake za kisiasa hivyo niliamini katika kongamano hilo ni sehemu sahihi ya kuzungumzia kwa kifupi kadhia anayopitia rafiki wa maalim Seif aliyeko gerezani Freeman Mbowe.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!