Ujio wa 5g: je tanzania imejiandaaje kukabiliana na changamoto na fursa zake.

Ilivyoanza 1g mpaka sasa 4g, Tz ilijiandaa na nini? Tupo tupo tu.
 
wabongo wengi wanadai hata 4G hawaioni, japo ni kweli iko maeneo machache lakini hata devices tunazotumia ndio kikwazo. Ukitaka kuenjoy internet speed uwe high specs latest devices
 
Hujaelewa chochote. Hivi ww unajua Tz ni maeneo machache sana yana 4G. tena ni mijini tu. Yaani miji michache sana.

Kwanza i'm sure kuna maeneo hata 3g hayana...
Si kila simu ina support 4G inawezekana unatumia simu inayo support 2G na 3G pekee.
 
Trade war ni mbwembwe tu, mziki upo kwenye "nani atakua wa kwanza kugundua 5G??"

Hapa ndio kazi ipo!! Sasa jiulize kwann trump kaipiga pini kampuni ya huawei ambayo ndiye kinara wa tafiti za 5G?

Baada ya usa kuona china kampiku basi akaanza visa!!

Na china akifanikiwa tu, USA ajiandae kisaikolojia maana CHINA ATAKUA NA NAFASI KUBWA YA KUWA BIG POWER!!


NB: wakati 5G inakuja kuna maeneo tz hayana hata 2g...
Anakuwa na 5G. Alafu hana operating systems inayofanya kazi dunia nzima kama androids, IOS na Windows ni sawa na kuwa na body ya gari uku injini hauna
 
Kwa wataalam wa Technology mtakuwa mmeshasikia ujio wa Technology ya 5G yenye downloading speed ya 20gb/sec.
Technology hii ndo itaubadilisha ulimwengu wetu to next mode of production.
Dunia yetu itakuwa ya automatic..kila kitu kitakuwa smart kwan artificial intelligence ndo itakuwa trend.sasa magari ya tesla yatakuwa yanatumika zaidi.
Smart device...kwa msaada wa 5g hata mimi nitaweza kumiliki robot sophia kwa shughuli za nyumban akasimamia yeye...
CHINA INAZINDULIWA RASMI 2020.
USA WANACHELEWA MPAKA 2025.

UK wao wakisaidiwa na China (Huawei) wamashazambaza minara nchi yooote.

Lakini kuna baadhi ya wanasayansi wana claim kwamba 5G ni hatari kibinadam na kimazingira...
5G ina uwezo wa ku control mind.
Je serikali yetu imejipangaje hapa.
Hayo ni maneno tu kibongobongo...net iko Nairobi nadhani ndiyo jiji linaloongoza kwa speed ya net Africa..nilikuwa hapo Nairobi una download hata mzigo wa 2GB kwa second 30 tu.kwa hapa Bongo utakaa hata dakika 45 Bado haha 700MB bado
 
Kwa wataalam wa Technology mtakuwa mmeshasikia ujio wa Technology ya 5G yenye downloading speed ya 20gb/sec.
Technology hii ndo itaubadilisha ulimwengu wetu to next mode of production.
Dunia yetu itakuwa ya automatic..kila kitu kitakuwa smart kwan artificial intelligence ndo itakuwa trend.sasa magari ya tesla yatakuwa yanatumika zaidi.
Smart device...kwa msaada wa 5g hata mimi nitaweza kumiliki robot sophia kwa shughuli za nyumban akasimamia yeye...
CHINA INAZINDULIWA RASMI 2020.
USA WANACHELEWA MPAKA 2025.

UK wao wakisaidiwa na China (Huawei) wamashazambaza minara nchi yooote.

Lakini kuna baadhi ya wanasayansi wana claim kwamba 5G ni hatari kibinadam na kimazingira...
5G ina uwezo wa ku control mind.
Je serikali yetu imejipangaje hapa.
Maskini Tanzania yangu! 3G tu yenyewe haijaenea nchi nzima leo unaongelea 5G!! Ya teknolojia tutaendelea kuyasikia kwa wenzetu humu tukikopi ya kuangamizana wenyewe tu!!
 
Maneno ya kibongo kivipi?
Hayo ni maneno tu kibongobongo...net iko Nairobi nadhani ndiyo jiji linaloongoza kwa speed ya net Africa..nilikuwa hapo Nairobi una download hata mzigo wa 2GB kwa second 30 tu.kwa hapa Bongo utakaa hata dakika 45 Bado haha 700MB bado
 
Jamani tatizo tunafikiria 5G na mambo ya mitandao ya simu. Kwa wenzetu ni zaidi ya mawasiliano. Ndo maana walitaka watafiti kwanza hasara/changamoto zake kabla ya kuanza kutumika. Watafiti walipendekeza mpaka 2030 tunaweza wakawa wamepunguza changamoto ndo iruhusiwe kutumika
Hawana lolote hao, ni kwavile wameona Mchina ndo anaanza ndo wanakuja na hayo sijui mara hivi mara watu warudi mwezini kwanza!!
 
Si kila simu ina support 4G inawezekana unatumia simu inayo support 2G na 3G pekee.
Acha ubishi usio na maana! Binafsi natumia simu ambayo ina-support 4G tena ni 2019 version lakini 4G unaitafuta kwa torch! Mtandao pekee unaonipa 4G bila zengwe ni Zantel peke yake!
 
5g usitake kuichosha serikal yetu vtu vingi bdo sana tuanze kuumiz kichwa na iyo afu acheni kuleta maneno ya kurudishana nyuma eti nerve nn cjui hapahakuna kitu km icho mwil wako hauwez alibiwa n kitu cha namna hii kirahisi ata wao wamefanya research au hawataki kuishi na pia kama shida ipo adi hio tech ifike kwetu tutakua tumeshaona wathungu wenye vinundu mgongon.
 
Hao wataalamu wanaodai 5g inamadhara ni wamarekani ambao kwa kuwa sio wao waliogundua hii 5g wivu na chuki umewajaa wameamua kuzusha porojo zisizo kuwa na ushahid mzuri. Serikali yetu na za Africa zichangamkie hii Tec itatusaidia kujikwamua kiuchumi kiaina
 
Utakuwa unatumia Halotel. Tigo na Voda wako 4G muda mrefu na sasa Airtel nao wameshaingia 4G.
3G ya Halotel iko fasta kuliko 4G zozote unazoziijua wewe hapa bongo huo ndio ukweli wenyewe
Linganisha kwanza 4G ya Aitel na Halotel kaiwashie pale pale morrocco kinondoni kwenye mjengo wao.
 
Back
Top Bottom