Ujio wa 5g: je tanzania imejiandaaje kukabiliana na changamoto na fursa zake.

mike2k

JF-Expert Member
May 12, 2016
1,458
3,127
Kwa wataalam wa Technology mtakuwa mmeshasikia ujio wa Technology ya 5G yenye downloading speed ya 20gb/sec.
Technology hii ndo itaubadilisha ulimwengu wetu to next mode of production.
Dunia yetu itakuwa ya automatic..kila kitu kitakuwa smart kwan artificial intelligence ndo itakuwa trend.sasa magari ya tesla yatakuwa yanatumika zaidi.
Smart device...kwa msaada wa 5g hata mimi nitaweza kumiliki robot sophia kwa shughuli za nyumban akasimamia yeye...
CHINA INAZINDULIWA RASMI 2020.
USA WANACHELEWA MPAKA 2025.

UK wao wakisaidiwa na China (Huawei) wamashazambaza minara nchi yooote.

Lakini kuna baadhi ya wanasayansi wana claim kwamba 5G ni hatari kibinadam na kimazingira...
5G ina uwezo wa ku control mind.
Je serikali yetu imejipangaje hapa.
 

Attachments

  • nick___108-20190901-0006.jpg
    nick___108-20190901-0006.jpg
    46 KB · Views: 23
  • nick___108-20190901-0004.jpg
    nick___108-20190901-0004.jpg
    105.7 KB · Views: 22
  • nick___108-20190901-0001.jpg
    nick___108-20190901-0001.jpg
    85.3 KB · Views: 23
  • nick___108-20190901-0002.jpg
    nick___108-20190901-0002.jpg
    99.4 KB · Views: 22
  • nick___108-20190901-0003.jpg
    nick___108-20190901-0003.jpg
    106.2 KB · Views: 24
  • nick___108-20190901-0005.jpg
    nick___108-20190901-0005.jpg
    113.3 KB · Views: 22
Kwa wataalam wa Technology mtakuwa mmeshasikia ujio wa Technology ya 5G yenye downloading speed ya 20gb/sec.
Technology hii ndo itaubadilisha ulimwengu wetu to next mode of production.
Dunia yetu itakuwa ya automatic..kila kitu kitakuwa smart kwan artificial intelligence ndo itakuwa trend.sasa magari ya tesla yatakuwa yanatumika zaidi.
Smart device...kwa msaada wa 5g hata mimi nitaweza kumiliki robot sophia kwa shughuli za nyumban akasimamia yeye...
CHINA INAZINDULIWA RASMI 2020.
USA WANACHELEWA MPAKA 2025.

UK wao wakisaidiwa na China (Huawei) wamashazambaza minara nchi yooote.

Lakini kuna baadhi ya wanasayansi wana claim kwamba 5G ni hatari kibinadam na kimazingira...
5G ina uwezo wa ku control mind.
Je serikali yetu imejipangaje hapa.
4G bado haijawawa utilized kwa kiasi kikubwa ktk nchi yetu. Hiyo 5G bado sana, labda kwa wale early adopters.
 
Kwa wataalam wa Technology mtakuwa mmeshasikia ujio wa Technology ya 5G yenye downloading speed ya 20gb/sec.
Technology hii ndo itaubadilisha ulimwengu wetu to next mode of production.
Dunia yetu itakuwa ya automatic..kila kitu kitakuwa smart kwan artificial intelligence ndo itakuwa trend.sasa magari ya tesla yatakuwa yanatumika zaidi.
Smart device...kwa msaada wa 5g hata mimi nitaweza kumiliki robot sophia kwa shughuli za nyumban akasimamia yeye...
CHINA INAZINDULIWA RASMI 2020.
USA WANACHELEWA MPAKA 2025.

UK wao wakisaidiwa na China (Huawei) wamashazambaza minara nchi yooote.

Lakini kuna baadhi ya wanasayansi wana claim kwamba 5G ni hatari kibinadam na kimazingira...
5G ina uwezo wa ku control mind.
Je serikali yetu imejipangaje hapa.
Katikati ya jiji/manispaa mnara unasoma E, mpaka tufikie 5G nadhani tendelee kujipanga
 
Tunafanya Utafiti Kwanzaa tuone je itakuwa na manufaa kiuchumi au la
 
Kwa wataalam wa Technology mtakuwa mmeshasikia ujio wa Technology ya 5G yenye downloading speed ya 20gb/sec.
Technology hii ndo itaubadilisha ulimwengu wetu to next mode of production.
Dunia yetu itakuwa ya automatic..kila kitu kitakuwa smart kwan artificial intelligence ndo itakuwa trend.sasa magari ya tesla yatakuwa yanatumika zaidi.
Smart device...kwa msaada wa 5g hata mimi nitaweza kumiliki robot sophia kwa shughuli za nyumban akasimamia yeye...
CHINA INAZINDULIWA RASMI 2020.
USA WANACHELEWA MPAKA 2025.

UK wao wakisaidiwa na China (Huawei) wamashazambaza minara nchi yooote.

Lakini kuna baadhi ya wanasayansi wana claim kwamba 5G ni hatari kibinadam na kimazingira...
5G ina uwezo wa ku control mind.
Je serikali yetu imejipangaje hapa.
Trade war ni mbwembwe tu, mziki upo kwenye "nani atakua wa kwanza kugundua 5G??"

Hapa ndio kazi ipo!! Sasa jiulize kwann trump kaipiga pini kampuni ya huawei ambayo ndiye kinara wa tafiti za 5G?

Baada ya usa kuona china kampiku basi akaanza visa!!

Na china akifanikiwa tu, USA ajiandae kisaikolojia maana CHINA ATAKUA NA NAFASI KUBWA YA KUWA BIG POWER!!


NB: wakati 5G inakuja kuna maeneo tz hayana hata 2g...
 
4G yenyewe tumeshindwa kuendana nayo,sembuse 5G,maendeleo ya technolog yanawenyewe sisi tutaishia kusondikiza tu,makampuni yenyewe yako bizy na kubland joti
 
Sisi inabidi kwanza tukomae na 4G maana coverage yake bado iko chini halafu na speed nimeona inakuwa ndogo hasa kama upo maeneo yenye watu wengi, mfano nilikuwa posta (DSM) ttcl ilikuwa inanipa 30KB/s na hapo imeandika 4G.
 
3g yenyewe haija sambaa nchi nzima hio 4g ni miji na miji mikuu sasa kuja Tz si ni kizazi kijacho
 
Jamani tatizo tunafikiria 5G na mambo ya mitandao ya simu. Kwa wenzetu ni zaidi ya mawasiliano. Ndo maana walitaka watafiti kwanza hasara/changamoto zake kabla ya kuanza kutumika. Watafiti walipendekeza mpaka 2030 tunaweza wakawa wamepunguza changamoto ndo iruhusiwe kutumika
 
Back
Top Bottom