Ujinga mtupu

banned do

JF-Expert Member
Apr 27, 2017
574
506
Mtu kuambiwa kuwa kuna harufu mbaya(either ya mavi au ushuzi) kisha anaanza kutembeza pua ili aisikie na kupata uhakika.Huo ni ujinga sawa na kuonja sumu ili uone inavyofanya kazi.Mtu kukomaa kupanda kilima kikali kwa baiskeli bila kupimzika eti kisa kambeba mkwe huu pia ni ujinga.Mtu kumshangaa mjinga anapofanya ujinga wakati anajua ujinga hufanywa na wajinga huyo ni mjinga skwea.Mtu kuufungua huu uzi ujinga na kuanza kusoma huu ujinga pasipokujua kuwa amefanywa mjinga pia ni ujinga uliopitiliza.
 
Mtu kuambiwa kuwa kuna harufu mbaya(either ya mavi au ushuzi) kisha anaanza kutembeza pua ili aisikie na kupata uhakika.Huo ni ujinga sawa na kuonja sumu ili uone inavyofanya kazi.Mtu kukomaa kupanda kilima kikali kwa baiskeli bila kupimzika eti kisa kambeba mkwe huu pia ni ujinga.Mtu kumshangaa mjinga anapofanya ujinga wakati anajua ujinga hufanywa na wajinga huyo ni mjinga skwea.Mtu kuufungua huu uzi ujinga na kuanza kusoma huu ujinga pasipokujua kuwa amefanywa mjinga pia ni ujinga uliopitiliza.
Ww pia ni kubwa jng la kiwango cha lami.Ptuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom