Ujerumani yampitisha Merkel kugombea muhula wa 4

Ujerumani yampitisha Merkel kugombea muhula wa 4

Raisi wa ujerumani ana term limit kugombea mwisho mara mbili. Huyu merkel sio raisi ni kiongozi wa bunge au Chancellor hata akigombea mihula 10 haina shida. Nyie mnaotaka kuiga mifumo ya wazungu na wachina ipo siku atatokea raisi mbovu ambae hamumtaki lakini kumtoa hamwezi. Ujermani wanaijua demokrasia vizuri tangia enzi za hilter wameshaweka mfumo wa kuzuia viongozi kuwa ma dikteta hata akigombea mara ngapi. Sisi tunaiga tu
 
Raisi wa ujerumani ana term limit kugombea mwisho mara mbili. Huyu merkel sio raisi ni kiongozi wa bunge au Chancellor hata akigombea mihula 10 haina shida. Nyie mnaotaka kuiga mifumo ya wazungu na wachina ipo siku atatokea raisi mbovu ambae hamumtaki lakini kumtoa hamwezi. Ujermani wanaijua demokrasia vizuri tangia enzi za hilter wameshaweka mfumo wa kuzuia viongozi kuwa ma dikteta hata akigombea mara ngapi. Sisi tunaiga tu
We jamaa bana kati ya Chancellor na Rais nani ni mtendaji wa shughuli za kila siku za serikali pale Germany?

Rais pale Germany ni Geresha tu,hata humu JF wenye kumjua jina huyo rais wa Germany bila ku google ni wachache saaaana.
 
We jamaa bana kati ya Chancellor na Rais nani ni mtendaji wa shughuli za kila siku za serikali pale Germany?

Rais pale Germany ni Geresha tu,hata humu JF wenye kumjua jina huyo rais wa Germany bila ku google ni wachache saaaana.
Sasa kama geresha kwanini wasimtoe tu nchi isiwe na raisi? Hawa wametenganisha nafasi za head of state(raisi) na head of government (Chancellor au waziri mkuu) ndo maana merkel anaweza kugombea hata mara 10. Uingereza, japan, Israel na nchi nyingi ziko hivi. Waziri mkuu anaruhusiwa kugombea anavotaka ila wanakuwa na head of state(raisi au mfamle) ambae ana madaraka mengine mfano ku sign laws au kutangaza vita.
 
Back
Top Bottom