Hivi karibuni kumekuwa na maandamano ya vikundi vyakidini kupinga mpango wa serikali ya Ujerumani kupitisha sheria ya kutofanya tohara kwawatoto wakiume nchi humo. Jambo hili limepingwa vikali na vikundi hivyo vikisisitiza nikinyume na taratibu za dini zao. fatilia zaidi kwenye hii link hapa chini
[h=3]German Jews and Muslims blast circumcision ban[/h]
Niwieniradhi kama ilishapostiwa humu ndani...
[h=3]German Jews and Muslims blast circumcision ban[/h]
Niwieniradhi kama ilishapostiwa humu ndani...