Ukisema hivyo unakufuru aisee.
Teh.., hawajapendelewa mkuu wanatumia brain, teknolojia na changamoto ya ufinyu wa ardhi kufanya maajabu kama hayo! Pia matumizi mazuri ya kodi za wananchi wao.
Fikiria ufisadi wa pesa za Richmond, Escrow, EPA et al., kama zingewekezwa kwenye ujenzi wa miundo mbinu bora tungepiga kahatua angalau! But tuliowapa dhamana wao wako busy wanajenga matumbo yao (Huu ni ufinyu mkubwa sana wa akili)!!
Kwa hiyo si lazima Magufuli avunje lile gorofa la Tanesco pale ubungo.
Teh.., hawajapendelewa mkuu wanatumia brain, teknolojia na changamoto ya ufinyu wa ardhi kufanya maajabu kama hayo! Pia matumizi mazuri ya kodi za wananchi wao.
Fikiria ufisadi wa pesa za Richmond, Escrow, EPA et al., kama zingewekezwa kwenye ujenzi wa miundo mbinu bora tungepiga kahatua angalau! But tuliowapa dhamana wao wako busy wanajenga matumbo yao (Huu ni ufinyu mkubwa sana wa akili)!!
Katika dunia hii huwa nawakubali:
1. Wajapani & wajerumani, hawa ni super engineers. Wana akili sana kwenye haya mambo, wanaweza kukufanyia kitu cha ajabu ukashindwa kuamini...
2. Wamarekani: hawa ni noma kwenye softwares, wanaweza kukutengenezea software na usijute...
3. Waholanzi na waisrael: hapa ndo modern agriculture imelala, wanaweza kuigeuza eka yako moja kulisha familia yako mwaka mzima na usinunue chakula kwingine.
4. Brazil: hapa ndo nyumbani kwa soka, wana vipaji hadi unaogopa...
5. Switzerland: hawa na genious kwenye maswala ya fedha, wanajua kuichannel hela hadi ikuletee faida..
Simply they are the best...
No 6 Bongo Ukichukua mawaziri 3 tu wa hapa ukiwapeleka Ujerumani na utajiri wao ukiwakabidhi ofisi miezi 3 tu nchi itatangazwa kufilisika kama Ugiriki
Na sisi lini tutafika huko?
Mkuu, nipo Tokyo.
Sana tu, lakini si kwenye uongozi wa ccm!Na sisi lini tutafika huko?
kwani na sisi tunaenda huko?Na sisi lini tutafika huko?
Mkuu mi nipo kaskazini huku,sehemu za hiroshima karibu na maeneo ya tandahimba.
Katika dunia hii huwa nawakubali:
1. Wajapani & wajerumani, hawa ni super engineers. Wana akili sana kwenye haya mambo, wanaweza kukufanyia kitu cha ajabu ukashindwa kuamini...
2. Wamarekani: hawa ni noma kwenye softwares, wanaweza kukutengenezea software na usijute...
3. Waholanzi na waisrael: hapa ndo modern agriculture imelala, wanaweza kuigeuza eka yako moja kulisha familia yako mwaka mzima na usinunue chakula kwingine.
4. Brazil: hapa ndo nyumbani kwa soka, wana vipaji hadi unaogopa...
5. Switzerland: hawa na genious kwenye maswala ya fedha, wanajua kuichannel hela hadi ikuletee faida..
Simply they are the best...
6. Tanzania: .........