PreGE2025 Ujenzi wa barabara za lami kata ya Biharamulo Mjini

PreGE2025 Ujenzi wa barabara za lami kata ya Biharamulo Mjini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,737
Reaction score
27,840
UJENZI WA BARABARA ZA LAMI KATA YA BIHARAMULO MJINI.

Kuna kazi ya kasi bado inaendelea kutekelezwa jimboni biharamulo kata ya biharamulo mjini kuakikisha barabara zote za mjini zinajengwa kwa kiwango cha lami tangu mbunge wa biharamulo Eng Ezra Chiwelesa awe mbunge wetu .

Barabara hii ni mfano katika barabara zilizojengwa hapa biharamulo mjini pekee.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ushirikiano wa mbunge, halmashauri ya wilaya, mkuu wa wilaya na Diwani wa kata ya biharamulo mjini kumefanya kazi ya ujenzi wa barabara hizi ufanyike kwa haraka na ubora unaotakiwa .

Biharamulo inamuhitaji sana Eng Ezra Chiwelesa.

AKIAHIDI ANATEKELEZA KUWA SHAHIDI

IMG-20250520-WA0011.jpg
IMG-20250520-WA0026.jpg
 
Acha lopolopo hapa.... Halmashauri ya Biharamulo haina bajeti ya kujenga barabara ya lami za mtaa!!. Huwa mnaona watu wajinga sana? Kwa vyanzo gani vya mapato 😂😂.
 
Back
Top Bottom