stendi ya ubungo ikiama automatic idadi ya magari yatapungua sana haswa hapo kwenye mataa cha msingi ni kuboresha ukubwa wa barabara haswa wa inayopita mbezi kuja kinyerezi , tabata na inayoenda gongo la mboto itasaidia sana kurahisha watakaoenda stendi ya mbezi kutokea tabata , gongo la mboto hata watakao tokea temeke
kitochi