Hiyo kitu hutokeaga kwa mwanaume tena wakati wa kujifungua kwake utapata uchungu wewe
Yeah. Ni mimba ya mke wako inaku affect. Kaka una morning sickness.
Hiyo kitu hutokeaga kwa mwanaume tena wakati wa kujifungua kwake utapata uchungu wewe
Dawa yake ni kuwa karibu naye kwa siku mbili mfululizo huku mkila kwa sahani moja na kunywa kwa kikombe kimoja.Ukipata nafuu sema
Yan mdau hatuwezi kukaa sehem moja muda mrefu either tutazinguana au atanibore tu yan cjui hii hali itaisha lini jaman starehe zote kwisha yan ni unyonge usioisha aisee
Acha ujinga,sasa mbona kila ushauri unakataa? Au unataka comments nyingi tu!? Fanya hivyo nilivyokuambia umalize tatizo. Na utoke wala usirudi kwa huyo mganga wako
Asante mdau ila nilikua naomba kufahamu huo uhusiano unakuwaje
Yan aisee nateseka sana jaman hapa natuma hii thread nko kwa mganga wa tiba mbadala karibia wiki ya pili sasa wanasema nina majin nisaidien jaman
Acha ujinga,sasa mbona kila ushauri unakataa? Au unataka comments nyingi tu!? Fanya hivyo nilivyokuambia umalize tatizo. Na utoke wala usirudi kwa huyo mganga wako
Hiyo hali ni ya kiasili na haina maelezo yoyote. Fanya hivyo upone
Labda ametunga tatizo.kama kawaida ya Jf
Yan aisee nateseka sana jaman hapa natuma hii thread nko kwa mganga wa tiba mbadala karibia wiki ya pili sasa wanasema nina majin nisaidien jaman
Basi tena....zishakuwa fix hizi
Yan aisee nateseka sana jaman hapa natuma hii thread nko kwa mganga wa tiba mbadala karibia wiki ya pili sasa wanasema nina majin nisaidien jaman