UJANJA: Mke kafaulu kuficha SMS ya mchepuko

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,454
Reaction score
1,569
Hali isiyo ya kawaida: siku moja mke alitumiwa SMS ya kukataliwa na aliekua mchepuko wake. Aliisoma mbele ya mumewe na akaanza kulia alipoona amepigwa chini na mchepuko wake huo.

MUME: Mbona unasoma kwa huzuni hiyo SMS hadi unalia?
MKE: Mama amenitumia SMS akinifundisha kupika pilau na nilipofika hatua ya kukata vitunguu ndio vikaniliza kama ilivyotabia ya vitunguu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…