Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Ujue sisi tuliosomeaga shule za jinsia moja especialy Seminary tukitokaga kule huwa tunakua na wenge sana, msitujudge
Sasa bwana nulikuaga mwenyej wa tinder kuna kipind...usidharau tinder kuna watu wa maana mule ukiwafaham huwez amin..hadi ma CEO etc
Sasa bwana kuna bint, kwa picha zile anaonekana kadada flan kadogo ka umr.ila kana frog ya hatari. Bas bwana, siku ya miad ikafika
Picha inaanza naenda mfata mbez mida ya ka saa mbili hivi usiku. Mimi lengo langu tukapate dinner tu nimrudishe
Basi kufika pale nampigia ananambia nishafika hapa. Sasa usiku niko kwenye gar namuuliza uko wap.akauliza upo na gar gan..enz hzo nna gx100 black moja ya hatar..akanambia nshakuona.
Hee si anakuja aisee...kwanza ni mfupi mnene kapaka makeup had inamwagika..manywele maref...yaan kiufup kavaa kichangu kabisa...daah nkasema mama yangu
Kaingia kwenye gar hyo perfume yake nilipata mafua palepale...nayeye halaf alikua na mafua..nkasema daah....haijawai tokea hii..
Palepale nkabadil mawazo nkasema ngoja nimdanganye huyu..manaa nilijiuliza hiv huyu naenda nae wap..watu wanione kituko..maana tulipanga twende samak samak
Dah.nkamwambia samahn ngoja nipokee sim ..nkashuka..nikazuga naongea na sim..nkarud nkamwambia dah aisee nmepigiwa simu sasa hiv nna dharura kuu
Akanambia heee..sasa ndo mambo gan hya mi nmeshaaga nyumban sirud leo..daaah yaan kwamba alikuja tukalale na hatujawai onana hata mara 1
Nkasema lahaula...siwez t.mber hii kitu miaka100..nkamwambia sasa tunafanyaje..akasema kikwel sijui.nkamwambia bas nikupe hela na nikulipie lodge ulale kesho urud home kwenu.akasema sawa..ila alilalamika sana
Akat mi namwangalia nasema dah. Ngoma ileee....yaan najiona kabisa naingia shimon.
Basi..nkalipa akaingia room nkampa hela nkamwagizia chakula nkaondoka
Kesho yake akanitumia msg..ila we kaka mstaarab sana..nkasema usijali
Huo ni mkasa ulitokea kama miaka mi5 au 6 hiv iliyopita..
Uzi tayar..(nmeonA nishee)
Sasa bwana nulikuaga mwenyej wa tinder kuna kipind...usidharau tinder kuna watu wa maana mule ukiwafaham huwez amin..hadi ma CEO etc
Sasa bwana kuna bint, kwa picha zile anaonekana kadada flan kadogo ka umr.ila kana frog ya hatari. Bas bwana, siku ya miad ikafika
Picha inaanza naenda mfata mbez mida ya ka saa mbili hivi usiku. Mimi lengo langu tukapate dinner tu nimrudishe
Basi kufika pale nampigia ananambia nishafika hapa. Sasa usiku niko kwenye gar namuuliza uko wap.akauliza upo na gar gan..enz hzo nna gx100 black moja ya hatar..akanambia nshakuona.
Hee si anakuja aisee...kwanza ni mfupi mnene kapaka makeup had inamwagika..manywele maref...yaan kiufup kavaa kichangu kabisa...daah nkasema mama yangu
Kaingia kwenye gar hyo perfume yake nilipata mafua palepale...nayeye halaf alikua na mafua..nkasema daah....haijawai tokea hii..
Palepale nkabadil mawazo nkasema ngoja nimdanganye huyu..manaa nilijiuliza hiv huyu naenda nae wap..watu wanione kituko..maana tulipanga twende samak samak
Dah.nkamwambia samahn ngoja nipokee sim ..nkashuka..nikazuga naongea na sim..nkarud nkamwambia dah aisee nmepigiwa simu sasa hiv nna dharura kuu
Akanambia heee..sasa ndo mambo gan hya mi nmeshaaga nyumban sirud leo..daaah yaan kwamba alikuja tukalale na hatujawai onana hata mara 1
Nkasema lahaula...siwez t.mber hii kitu miaka100..nkamwambia sasa tunafanyaje..akasema kikwel sijui.nkamwambia bas nikupe hela na nikulipie lodge ulale kesho urud home kwenu.akasema sawa..ila alilalamika sana
Akat mi namwangalia nasema dah. Ngoma ileee....yaan najiona kabisa naingia shimon.
Basi..nkalipa akaingia room nkampa hela nkamwagizia chakula nkaondoka
Kesho yake akanitumia msg..ila we kaka mstaarab sana..nkasema usijali
Huo ni mkasa ulitokea kama miaka mi5 au 6 hiv iliyopita..
Uzi tayar..(nmeonA nishee)