Kama mada inavyojieleza...hivi mtu mwenye premature ejaculation anaweza kumpa mwanamke ujauzito??....na je kama ni kweli huyo mtoto atakayezaliwa hatakuwa na mapungufu??... MziziMkavu na wataalamu wengine wa jukwaa nawasilisha kwenu
Kama mada inavyojieleza...hivi mtu mwenye premature ejaculation anaweza kumpa mwanamke ujauzito??....na je kama ni kweli huyo mtoto atakayezaliwa hatakuwa na mapungufu??... MziziMkavu na wataalamu wengine wa jukwaa nawasilisha kwenu
Ningelikukatalia ningeleta ugomvi baina ya wewe na mke wako kumbe? Ningeleta Fitina ndani ya ndoa? Ungelihisi mke wako amekusaliti nini? ahhhhh sawa asante kwa feedback basi hata kunipa like unashindwa? Sawa tu.
Ningelikukatalia ningeleta ugomvi baina ya wewe na mke wako kumbe? Ningeleta Fitina ndani ya ndoa? Ungelihisi mke wako amekusaliti nini? ahhhhh sawa asante kwa feedback basi hata kunipa like unashindwa? Sawa tu.
Ningelikukatalia ningeleta ugomvi baina ya wewe na mke wako kumbe? Ningeleta Fitina ndani ya ndoa? Ungelihisi mke wako amekusaliti nini? ahhhhh sawa asante kwa feedback basi hata kunipa like unashindwa? Sawa tu.
Hahaa..mkuu MziziMkavu kweli sikutoa Like ila nilisema ahsante....unajua wengine tunashift mara simu mara desktop ndugu yangu.....nimeshakupatia like za kutosha mkubwa wa kazi