Uhusiano kati ya Damu na Tabia

Uhusiano kati ya Damu na Tabia

Damu group O, tukutane pm kunakikao cha "emergency " sio kwa kuambiwa tunapenda ngono kiasi hiki
Nyie ni vitombi balaa kunae jamaa ni group O yule msela anakula papuchi kama njugu perday anaweza kudinya hata mamanzi 3
 
Sijawai ona ukweli kama huu jf .mtoamana. Andika kitabu ili watu wote wajue ukweli wa tabia ya umepatia Saa blood group O niukweli mtupu
 
Damu group O, tukutane pm kunakikao cha "emergency " sio kwa kuambiwa tunapenda ngono kiasi hiki
yani mengine yote kapatia,ni mule mule ila hapo kwenye kupenda ngono ni balaa 🤣 🤣
 
Mkuu umenena nna damu group 0 mengi ulosema ni TRUE
Kunawakati hua nahisi jambo kama ndoto na hua linakuja kutokea vile vile bila chenga
Kunawakati niliwahi kujihis sipo kawaida kabla sijajajua kua huenda ni bahati yangu
 
Kwa maelezo zaidi juu ya blood groups, Donations, Universal donor, Universal recipients, Child blood groups unaweza kutembelea tovuti hii hapa chini
 
Hili la Group O kusumbukiwa mara nyingi na Malaria, kichwa na mafua aisee hii ni kweli kabisa maana ndiyo inayonitokea mimi ....
 
Back
Top Bottom