Uhusiano kati ya CHADEMA na ACT-Wazalendo ni tete sana

Misuguano ni kawaida sana kwenye siasa na ACT soon wataungana na CDM na vyama vingine kuing’oa CCM.
 
Hawa ACT sijawahi kuwaamini, hasa zito kabwe
Kama ulimuamini LOWASA ukataka kumpeleka IKULU sembuse usimuamini Zitto , hapo wafuasi wa vyama ndio huwa mnaniacha hoi, mimi binafsi kama mjenzi huru nchi hii naamini watu wawili tu kwa sasa Lisu na Zitto hawa wengine waliobaki wapo kwenye siasa kujinufaisha.
 
Huwa unalipwa shilingi ngapi huko sisiemu kwa kuandika ujinga?
 
Nasema huwa mnalipwa bei gani kwa kutetea Ushetani wa kuiba rasilimali za nchi huko ccm?

Naona mizuka ndio imekuwa ikikutawala zaidi kuliko uhalisia wa Mambo. Mbona mnaowaitwa wezi wakiondoka CCM mnawaishia kuwasafisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…