Uhuni wa Kampuni ya mabasi ya Nacharo

Uhuni wa Kampuni ya mabasi ya Nacharo

Siku wakinifanyia hivyo nachoma moto hizo ofisi maana hazina maana!
 
Kwa kesi niliyoipata ya hawa ndugu wawili kutoka dodoma jana ilikuwa walikata ticketi ofisini toka ijumaa asubuhi na jana kuja wanakuta siti hizi hizo zimekatiwa tena na wakadai aliyekatisha mapema alisahau kujaza sehemu husika na kisha mwingine naye kakatisha siti hizo hizo
Then hapo kweli ni makusudi tu ya ma agent. Lakini pia hua ticket zina namba za ofisi plus mabos, kama vipi unapiga kulalamika. Wanaeza kwepa but taarifa wanayo
 
Wiki iliyopita nilikuwa Iringa naelekea Arusha Busa kaprikon,,ndani ya gari tulijikuta watu watatu tumekatiwa siti moja,,na sio mimi wengine pia ilikuwa hivo hivo
 
Ile mishangazi yenye makope bandia inayokatisha tiketi pale barabara 16 sometimes hawapo makini, kuna mtu mmoja nae alishawahi kufanyiwa huo mchezo na hao wadada. Naona mmiliki kawaamini sana wanawake maana wakatisha tiketi na utingo ni wanawake
Labda anawala kiaina.
 
Back
Top Bottom