Nacharo walianza huduma zao kwa uzuri na walijijengea heshima kubwa kwa barabara ya Tanga to Dar na hivi karibuni walianza route ya Tanga to Dodoma.
Kutoka na kutanua huduma zake imefikia hatua ya kuajiri vijana watata na wahuni kwenue ofisi zake za Dodoma na Tanga kwani wamekuwa na utaratibu wa kukatisha ticketi siti 1 watu zaidi ya mmoja mnagongana abaria, hii ni kadhia imewakumba abiria wengi na wanalalamika kwa uhuni wanafanyiwa.
Boss wa kampuni hii mnaofahamiana naye mwambieni au tunaombeni namba zake
Kutoka na kutanua huduma zake imefikia hatua ya kuajiri vijana watata na wahuni kwenue ofisi zake za Dodoma na Tanga kwani wamekuwa na utaratibu wa kukatisha ticketi siti 1 watu zaidi ya mmoja mnagongana abaria, hii ni kadhia imewakumba abiria wengi na wanalalamika kwa uhuni wanafanyiwa.
Boss wa kampuni hii mnaofahamiana naye mwambieni au tunaombeni namba zake