Mwanahisa
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,382
- 515
Leo tujihoji wadau, umewahi mara ngapi kulihujumu shirika la Usambazaji umeme Tanzania (TANESCO),
kwa kuleta vishoka nyumbani literally (fundi tanesco) kuibana mita ipunguze mwendo?
Kuweka sumaku (magnet) ili kisahani kipunguze mwendo maana hapa ukiwasha jiko la umeme plate moja tu kisahani kinakwenda over fan.
Hapa advanced kidogo, umeweka utepe wa mkanda wa video kwenye punch card ili sindano ikishuka kutoboa card itulizane umeme wa buku tatu unapigwa kwa miezi mitatu, full AC, BBQ, Water heater kama kawa.
Tujuze wewe umeshatumia style gani kuhakikisha unakwenda sambamba na Tanesco. Karibu
Tujuze wewe umeshatumia style gani kuhakikisha unakwenda sambamba na Tanesco. Karibu