Wapendwa hospital gani inayotumia bima ya NHIF naweza kupata daktari bingwa wa ngozi, please share uzoefu ikiwa na Wewe ulishawahi kuumwa na ugonjwa wa ngozi na ukapata tiba.
Wakuu pia mm tatizo la ngozi linanitesa huu ni mwaka wa kumi ngozi inawasha sana nmetumia madawa ya kutosha bila mafanikio crems za kutosha bila mafanikio nmepima FBP WANANIAMBIA NIPO NEGATIVE KILA KITU WANANIAMBIA NEGATIVE dawa wamenipa ila sijapata msaada naomba msaada wenu wakuu kama unamjua bingwa wa ngozi pamoja na mawasiliano yake utakuwa umenisaidia sana mm npo mbeya kwasasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.