Uhayawani wa CCM na suala la Umeya Dar

Goodluck Mshana

JF-Expert Member
Aug 7, 2011
1,271
1,119
Hebu ifike pahala CCM muwe watu wazima na kuacha Siasa za kijinga na za kitoto. Ni dhahiri kwa idadi ya madiwani wa UKAWA lazima watatengeneza Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Michezo mnayoifanya mnasababisha watu wengine wadhalilishwe na kutiwa aibu mbele ya jamii na familia zao. Ninamuona Mama mtu mzima anavyochapwa makofi na vijana! Mmemuacha peke yake huku nyie mkiwa maofisini mmetulia. Shame!

CCM lazima mkubali kuwa mlizidiwa kwenye uchaguzi Mkuu. Mkaelekeza nguvu na rasilimali zote kwa Lowassa. Mkanununua media, watu na hata kura. Mkasahau ya Jiji la Dar es Salaam. Mkasahau nguvu ya madiwani baada ya uchaguzi. Mkasahau kuna swala la Meya! Leo mnastuka tayari UKAWA wamewazidi kete. Kubalini yaishe na muwaachie UKAWA waendeshe Jiji. Jipangeni kwa uchaguzi ujao ambao hamtawasahu madiwani na kuelekeza nguvu na fitina kwa mgombea wa UKAWA.

Na labda niwakumbushe kitu. Hakuna mwenye hati miliki ya kuiongoza Tanzania. Zanzibar mlichemka hivyo muachieni Maalim Seif ili wazanzibari waendelee na maisha yao. Tuliamua kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Hivyo tukubaliane na matokeo yake. Tuukubali uzao wa vyama vingi ambapo chimbuko lake ni demokrasia. Tukubali na kuheshimu maamuzi ya sanduku la kura yasije tukuta ya Misri, Kenya na ile aibu anayoitenda Museveni pale Uganda.

Tuwe na utamaduni wa kuheshimu maamuzi ya wananchi. Wanapopiga kura huwa na lengo la kuadhibu upande dhaifu. Upande ambao haukukidhi haja ya maendeleo yao. Watanzania hawajafikia kushikiana mitutu ili kuingia kwenye Uongozi. CCM kisitupeleke huko. Rafu mlizocheza kwenye uchaguzi Mkuu zinatosha na sasa wapeni UKAWA kipande cha Nchi waongoze. Watanzania wawapime kwa weledi na uchapa kazi wao. Wakiharibu basi 2020 wananchi waamue vinginevyo.

Miradi na mipango ya Jiji imesimama. Hakuna wa kuliongoza Jiji kisa Siasa chafu na za aibu. Ni kichekesho kuona naibu Meya anaahirisha uchaguzi eti kwasababu ya zuio la Mahakama! Kama kulikuwa na zuio ikawaje aitishe uchaguzi?! Je, kama CCM wangekuwa na idadi kubwa ya madiwani mpaka sasa Jiji la Dar es Salaam lingekuwa halijapata Meya kutoka CCM?! Tungetumia muda gani kumpata Meya? Na je, historia inasemaje kuhusu namna na muda wa kuchaguliwa mameya waliopita chini ya CCM? Tuache Siasa za mabavu yasiyo na tija kwa Taifa letu.

Na Goodluck Mshana

Mfuasi wa ghafla wa Donald Trump
 
Hebu ifike pahala CCM muwe watu wazima na kuacha Siasa za kijinga na za kitoto. Ni dhahiri kwa idadi ya madiwani wa UKAWA lazima watatengeneza Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Michezo mnayoifanya mnasababisha watu wengine wadhalilishwe na kutiwa aibu mbele ya jamii na familia zao. Ninamuona Mama mtu mzima anavyochapwa makofi na vijana! Mmemuacha peke yake huku nyie mkiwa maofisini mmetulia. Shame!

CCM lazima mkubali kuwa mlizidiwa kwenye uchaguzi Mkuu. Mkaelekeza nguvu na rasilimali zote kwa Lowassa. Mkanununua media, watu na hata kura. Mkasahau ya Jiji la Dar es Salaam. Mkasahau nguvu ya madiwani baada ya uchaguzi. Mkasahau kuna swala la Meya! Leo mnastuka tayari UKAWA wamewazidi kete. Kubalini yaishe na muwaachie UKAWA waendeshe Jiji. Jipangeni kwa uchaguzi ujao ambao hamtawasahu madiwani na kuelekeza nguvu na fitina kwa mgombea wa UKAWA.

Na labda niwakumbushe kitu. Hakuna mwenye hati miliki ya kuiongoza Tanzania. Zanzibar mlichemka hivyo muachieni Maalim Seif ili wazanzibari waendelee na maisha yao. Tuliamua kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Hivyo tukubaliane na matokeo yake. Tuukubali uzao wa vyama vingi ambapo chimbuko lake ni demokrasia. Tukubali na kuheshimu maamuzi ya sanduku la kura yasije tukuta ya Misri, Kenya na ile aibu anayoitenda Museveni pale Uganda.

Tuwe na utamaduni wa kuheshimu maamuzi ya wananchi. Wanapopiga kura huwa na lengo la kuadhibu upande dhaifu. Upande ambao haukukidhi haja ya maendeleo yao. Watanzania hawajafikia kushikiana mitutu ili kuingia kwenye Uongozi. CCM kisitupeleke huko. Rafu mlizocheza kwenye uchaguzi Mkuu zinatosha na sasa wapeni UKAWA kipande cha Nchi waongoze. Watanzania wawapime kwa weledi na uchapa kazi wao. Wakiharibu basi 2020 wananchi waamue vinginevyo.

Miradi na mipango ya Jiji imesimama. Hakuna wa kuliongoza Jiji kisa Siasa chafu na za aibu. Ni kichekesho kuona naibu Meya anaahirisha uchaguzi eti kwasababu ya zuio la Mahakama! Kama kulikuwa na zuio ikawaje aitishe uchaguzi?! Je, kama CCM wangekuwa na idadi kubwa ya madiwani mpaka sasa Jiji la Dar es Salaam lingekuwa halijapata Meya kutoka CCM?! Tungetumia muda gani kumpata Meya? Na je, historia inasemaje kuhusu namna na muda wa kuchaguliwa mameya waliopita chini ya CCM? Tuache Siasa za mabavu yasiyo na tija kwa Taifa letu.

Na Goodluck Mshana

Mfuasi wa ghafla wa Donald Trump
Mkuu nakupa kongole sana kwa kuwapa ukweli hao wanaojiona ndio pekee wenye leseni ya kuitawala tanania,ila Wanajidanganya sana maana huu upepo wa mabadiliko utawakumba tu na hakutakuwa na nafasi ya majadiliano tena,yaliyotokea nchi jirani za wenzetu wajue pia kuwa hapa yashafika bado tu kuchomoza na kuonekana na wengi
 
Hakuna jema linaloweza kutoka CCM, kwa sababu msingi wake hauko kwenye demokrasia bali udikteta, mbaya zaidi ukiwa kiongozi wake lazima ukose aibu na uoga, ndiyo maana unakuta akina Nape, Lubuva na wengineo wakose aibu.
Pamoja na sifa zote wanazompa Magufuli angalia linapokuja suala la CCM na madaraka anakuwa mjinga na kukosa la kufanya, Zanzibar na hili la umeya wa Dar linaonyesha rangi kamili ya CCM , ni Mungu mwenyewe tu aingilie maana ninaamini ukitoka shetani lucifer anayefuatia ni CCM
 
CCM wanavyotaka vya dezo yaani hapo wanataka ukawa wazile na kususa ili wapate meya wao kwa ulaiiini, hasusi mtu hapa
 
hii ni aibu sana utaratibu unavunjwa vunjwa ovyo hakuna wa kunyoosha mstari kwa nini kila uchaguzi unamizengwe huku tunajisifu tunademecrasia
 
Namuonea huruma yule mama,nini amekipata kama sio kudharilishwa bila ya maslahi yoyote kwake,watoto wake wameshuhudia na wajukuu zake pia,shame on her.
 
Tokea lini mwizi akaona aibu ukiwa ccm yataka use na moyo mgumu uzuri wake ukiwa mpiga madili ndio unakuwa star ccm
 
ccm ni ile ile. kwani jpm hajui ili sakata? di atumbue ili jipu ili haki itamalaki? ata sakata la vibari vya sukari naona chenga tu. ammy mpunge + nkapa = viwanda vya sukari vilivyobinafsishwa
 
ccm ni janga la kitaifa na michezo Yao ya kizamani na mbinu zilizopitwa na wakati. Wapeni ukawa furusa ya kuongoza jiji ili mwisho wa siku tuwajudge kwa utendaji wao.
 
Hebu ifike pahala CCM muwe watu wazima na kuacha Siasa za kijinga na za kitoto. Ni dhahiri kwa idadi ya madiwani wa UKAWA lazima watatengeneza Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Michezo mnayoifanya mnasababisha watu wengine wadhalilishwe na kutiwa aibu mbele ya jamii na familia zao. Ninamuona Mama mtu mzima anavyochapwa makofi na vijana! Mmemuacha peke yake huku nyie mkiwa maofisini mmetulia. Shame!

CCM lazima mkubali kuwa mlizidiwa kwenye uchaguzi Mkuu. Mkaelekeza nguvu na rasilimali zote kwa Lowassa. Mkanununua media, watu na hata kura. Mkasahau ya Jiji la Dar es Salaam. Mkasahau nguvu ya madiwani baada ya uchaguzi. Mkasahau kuna swala la Meya! Leo mnastuka tayari UKAWA wamewazidi kete. Kubalini yaishe na muwaachie UKAWA waendeshe Jiji. Jipangeni kwa uchaguzi ujao ambao hamtawasahu madiwani na kuelekeza nguvu na fitina kwa mgombea wa UKAWA.

Na labda niwakumbushe kitu. Hakuna mwenye hati miliki ya kuiongoza Tanzania. Zanzibar mlichemka hivyo muachieni Maalim Seif ili wazanzibari waendelee na maisha yao. Tuliamua kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Hivyo tukubaliane na matokeo yake. Tuukubali uzao wa vyama vingi ambapo chimbuko lake ni demokrasia. Tukubali na kuheshimu maamuzi ya sanduku la kura yasije tukuta ya Misri, Kenya na ile aibu anayoitenda Museveni pale Uganda.

Tuwe na utamaduni wa kuheshimu maamuzi ya wananchi. Wanapopiga kura huwa na lengo la kuadhibu upande dhaifu. Upande ambao haukukidhi haja ya maendeleo yao. Watanzania hawajafikia kushikiana mitutu ili kuingia kwenye Uongozi. CCM kisitupeleke huko. Rafu mlizocheza kwenye uchaguzi Mkuu zinatosha na sasa wapeni UKAWA kipande cha Nchi waongoze. Watanzania wawapime kwa weledi na uchapa kazi wao. Wakiharibu basi 2020 wananchi waamue vinginevyo.

Miradi na mipango ya Jiji imesimama. Hakuna wa kuliongoza Jiji kisa Siasa chafu na za aibu. Ni kichekesho kuona naibu Meya anaahirisha uchaguzi eti kwasababu ya zuio la Mahakama! Kama kulikuwa na zuio ikawaje aitishe uchaguzi?! Je, kama CCM wangekuwa na idadi kubwa ya madiwani mpaka sasa Jiji la Dar es Salaam lingekuwa halijapata Meya kutoka CCM?! Tungetumia muda gani kumpata Meya? Na je, historia inasemaje kuhusu namna na muda wa kuchaguliwa mameya waliopita chini ya CCM? Tuache Siasa za mabavu yasiyo na tija kwa Taifa letu.

Na Goodluck Mshana

Mfuasi wa ghafla wa Donald Trump
Umenichekesha kuwa ww ni mfusi wa ghafla wa Donald Trump .....kwakwel mm ni mfuasi wake wa muda mrefu....Naomba Mungu awe Rais wa wa USA....
 
Hivi katika nchi inayoongozwa kwa misingi ya demokrasia, unawezaje kutawala wakati umekataliwa na wapiga kura? CCM ni chama cha ajabu sana. Na hawa ndiyo wataleta machafuko hapa Tanzania. Iwe mchana, iwe usiku, inyeshe mvua ama liwake jua, Meya wa Dar lazima atokane na vyama vinavyounda Ukawa, CCM mmechokwa na watanzania.
 
Mpango wao ni Rais kuunda Tume itakayoongoza Jiji baada ya hizi sintofahamu za uchaguzi.. Hapa UKAWA inabidi wewe smart kuchanga katara zao... Na hapa ndipo unaliona pengo la Dr. Slaa kisiasa, kiushawishi na kimikakati.
 
Hakuna jema linaloweza kutoka CCM, kwa sababu msingi wake hauko kwenye demokrasia bali udikteta, mbaya zaidi ukiwa kiongozi wake lazima ukose aibu na uoga, ndiyo maana unakuta akina Nape, Lubuva na wengineo wakose aibu.
Pamoja na sifa zote wanazompa Magufuli angalia linapokuja suala la CCM na madaraka anakuwa mjinga na kukosa la kufanya, Zanzibar na hili la umeya wa Dar linaonyesha rangi kamili ya CCM , ni Mungu mwenyewe tu aingilie maana ninaamini ukitoka shetani lucifer anayefuatia ni CCM
....kabisa mkuu...
 
CCM wanavyotaka vya dezo yaani hapo wanataka ukawa wazile na kususa ili wapate meya wao kwa ulaiiini, hasusi mtu hapa

Kwa sheria na taratibu ni UKAWA tu wanaweza jichagulia Meya kama CCM atasusa na kinyume chake. Amini nawaambia ingekuwa CCM ndio yenye namba ya madiwani wa UKAWA, Meya alisha patikana, maana wangetumia mbinu UKAWA wasuse kama wao walivyo susa jana na wakaendelea na uchaguzi kwa kisingizio hicho na polisi isingeingilia, ingetuambia wameachia demokrasia ichukuwe mkondo wake. Ila ukawa hawakuruhusiwa demokrasia ichukuwe mkondo.

Ninamshangaa sana Kamanda Siro Nyaoro, ndugu yangu huyo, sikutaraji nimjuavyo angekuwa upande mmoja!!!!
 
Nimejaribu ukifuatilia nye do za ccm tokea uchaguzi nimegindua kitu kimoja kama tabia hii wataiendeleza kuna siku watatuzalishia elshabaab kwa ajali ya ung'ang'anizi wa kila kitu kuwa halali kwao kwa wapinzani ni haramu niliona hata wenzangu wa dola walivyoshupaa kuwatwanga wapinzani wakati nao wapo katika Tia Maji kwa mikataba waliyoingia na waziri sijui nao uadilifu wao ni wa kuhoji mbona JWTZ hayo hayapo?
 
Back
Top Bottom