Source:radio iran swahili
duuu nilikuwa sijui hapo bold; mkuu hii post mahala pake ni international forum
qatar labda wapate msaada kutoka west, kuimaliza qatar ni rahisi sana kupitia foreigners wanaoishi qatar wewe uliona wapi mpaka security officers wa airport ni raia wakigeni, ukiwa pale airport wafanyakazi 80% ni raia wakigeni, wahudumu ndani ya ndege + pilots wote wageni sasa hapo unaulinzi kweli?