Hata wewe ni mwendawazimu kama hao waliofanya uharibifu tu! Kwani viti ndio vilifanya makosa? Kwa nini wasiingie uwanjani wakapambane na refa kama wanaona kakosea!simba imeonewa, ingefaa hiyo M5 alipishwe huyo refa aliye sababisha mashabiki wangoe viti
Simba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
Kuna vitu inatakiwa vikomeshwe!!Shika adabu yako....
Kama refa na lineman hawakuona ni kitu cha kawaida..... inatokea na ni sehemu ya mchezo. Hata Maradona alifunga kwa World cup. Mbaya ni kama waamuzi waliona na kuachia TFF wamuadhibu baada ya kupokea taarifa ya mchezo ndiyo utaratibu. Siyo kufanya vuruguNi kweli kabisa kwakuwa ile sio netball bali ni football
Mhh bila washabiki si TFF watakufa njaaSimba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
Hapo ndo patamu, na wao wapate somo kuweka marefa vilaza. Simba na yanga ndo mtaji wa tff.Mhh bila washabiki si TFF watakufa njaa
ila yanapotokea maamuzi mawili makubwa dhidi yako tu hapo haiko sawa! Unafunga goli halali linakataliwa na unafungwa goli haram linakubaliwa, hapo haiko sawa!!Kama refa na lineman hawakuona ni kitu cha kawaida..... inatokea na ni sehemu ya mchezo. Hata Maradona alifunga kwa World cup. Mbaya ni kama waamuzi waliona na kuachia TFF wamuadhibu baada ya kupokea taarifa ya mchezo ndiyo utaratibu. Siyo kufanya vurugu
UpuuuziSimba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
Sasa ndugu tuseme kila timu inayoonewa na refa mashabiki wake wang'oe viti huo uwanja si ungebaki mtupu?simba imeonewa, ingefaa hiyo M5 alipishwe huyo refa aliye sababisha mashabiki wangoe viti
TFF wamesema hakuna mashabiki kuingia tena uwanjani michezo minne, kwa hiyo mechi za simba na yanga zitachezwa bila mashabikiHuyu nae vipi!?Kwani viti vimekua roho vikitoka havirudi! Tutalipa ila sms imefika next time ujinga kama huu tunaondoka na magoli
kumbe simba ni genge la wahuni kama america ya kusini tu.Roho mbaya aijengi, vurugu zipo duniani kote, fatilia mechi za America ya kusini sehemu zenyewe zenye wahuni.
Acha kuuliza maswali ya kijinga aisee
Ili wamkomoe nani?
Wamesemea wapi? Wanavopenda pesa watathubutu??TFF wamesema hakuna mashabiki kuingia tena uwanjani michezo minne, kwa hiyo mechi za simba na yanga zitachezwa bila mashabiki
Ni kweli haipo sawa lakini chukua maamuzi sahihi siyo nawe ufanye makosa katika kosaila yanapotokea maamuzi mawili makubwa dhidi yako tu hapo haiko sawa! Unafunga goli halali linakataliwa na unafungwa goli haram linakubaliwa, hapo haiko sawa!!
Yaani nyie Simba mkifungwa mnalalamikaaaa, lakini mbona Yanga hawalalamiki kama nyie,? Timu yenyewe ya kumfunga yanga hamna afu mnakujatokwa povu huku kaa lipumbaMimi nawaomba Simba siku nyingine tujitahidi hata kungoa zaidi ya nusu labda tutasikilizwa tumelalamika vyavkutosha sisi ni wa kuonewa tu...au sisi ndiyo watakatifu sana huyo refa siku nyingine angalau apate hata kikofi...
Inashangaza...
Hawa Simba SC ni genge la wahuni tu!
Sasa kila mtu/shabiki akiona alidhiki na maamuzi ya refa aanze kung'oa viti...?