goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,021
- 1,268
Hivi jamani tuseme hata uhamisho wa watumishi wa umma unahtaji fungu ama vp!? maana uhakiki umeisha na hatuoni dalili wakati wengine tulivyoomba tuliweka commitment kuwa tupo tayari kujigharamia.
Hii imekaaje kwa wale wanaotembelea office za tamisemi mara kwa mara
Hii imekaaje kwa wale wanaotembelea office za tamisemi mara kwa mara