MUHEZAKAYA
Member
- Nov 14, 2014
- 15
- 9
Naomben ushauri,nimeitwa uhamiaj depo ccp nafas ya koplo,na nssf wameniita kwenye written interview nafasi ya operation officer ,je wap niende?
watu washaitwa kwenye interview boss!!ila mimi si dudeSorry dude!!kwani nssf wameshatoa nafasi za operation officer...
Ni mtihani Mgumu kuamua,lakini ni bora uende uhamiaji maana ushaitwa Depo tofauti na TRA ambapo ni interview ambayo ina mawili kufanikiwa au kutofanikiwa!
Be serious sometime.....unataka kuacha kazi kwa sababu ya interview ambayo probability ya kupata ni less than 0.01.
Then we msomi wa wapi tunataka kufanya choose in things avifanani. Choice inakuja between kazi na kazi au interview with other interview.... Msomi wewe tunataka kufanya choice btn kazi na interview.aaaggghhh
Be serious sometime.....unataka kuacha kazi kwa sababu ya interview ambayo probability ya kupata ni less than 0.01.
Then we msomi wa wapi tunataka kufanya choose in things avifanani. Choice inakuja between kazi na kazi au interview with other interview.... Msomi wewe tunataka kufanya choice btn kazi na interview.aaaggghhh
Sikia mkuu, kama unataka kazi nenda uhamiaji, bt kama unataka uzoefu wa kufanya interview nenda nssf
hahahaha dude usipaniki basi hahahahaha...ok bosswatu washaitwa kwenye interview boss!!ila mimi si dude
te te te te te te te...chezea kuitwa dude wewe!!!hahahaha dude usipaniki basi hahahahaha...ok boss