Uhakiki wa vyeti (RITA) ni utata mtupu

Ti Go

JF-Expert Member
Jun 28, 2012
880
844
Naandika ili kama taasisi hizi wanapita hii forum wajue utata wanaosababisha - Rita, heslb pamoja na TCU.

Leo nimeenda kuhakiki cheti cha kuzaliwa binti yangu wilayani wakaniambia nikipeleke kule waliokitoa, ni mbali sana (wakati huo nilikuwa nafanya kazi huko, sasa nimehama) wakasema kama siyo nikitume Rita kwa email.

Wakati huo walikuwepo vijana wanalalamika wana wiki tangu watume na hawajajibiwa. Kwa mini inakuwa hivi, kama mtu alizaliwa na kupata cheti Iringa na sasa hivi yuko Kagera, aende kweli Iringa?

Kwanini mwaka huu usumbufu wa kuomba vyuo umekuwa mkubwa hivi tofauti na mwaka huu.

Gharama za kuomba kila chuo ziko juu, baadhi ya vyuo 50,000 vingine 30,000 vingine 10,000. Ukiomba vyuo 4 jiandae na 200,000.

Rita nao wanataka 3000, mahakama kuweka mhuri 5000 kila sahihi. Bodi ya mikopo 50,000.
Kweli tutafika?
 
Naandika ili kama taasisi hizi wanapita hii forum wajue utata wanaosababisha - Rita, heslb pamoja na TCU.

Leo nimeenda kuhakiki cheti cha kuzaliwa binti yangu wilayani wakaniambia nikipeleke kule waliokitoa, ni mbali sana (wakati huo nilikuwa nafanya kazi huko, sasa nimehama) wakasema kama siyo nikitume Rita kwa email.

Wakati huo walikuwepo vijana wanalalamika wana wiki tangu watume na hawajajibiwa. Kwa mini inakuwa hivi, kama mtu alizaliwa na kupata cheti Iringa na sasa hivi yuko Kagera, aende kweli Iringa?

Kwanini mwaka huu usumbufu wa kuomba vyuo umekuwa mkubwa hivi tofauti na mwaka huu.

Gharama za kuomba kila chuo ziko juu, baadhi ya vyuo 50,000 vingine 30,000 vingine 10,000. Ukiomba vyuo 4 jiandae na 200,000.

Rita nao wanataka 3000, mahakama kuweka mhuri 5000 kila sahihi. Bodi ya mikopo 50,000.
Kweli tutafika?
Tuombe mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliopeleka leo DSM RITA wameambiwa majibu 31.08.2017 na HESLB wanata mzigo uwafikie 04.09.2017. Tuombe HESLB wawe flexible waongeze ingawa siku 5 au kutakuwa na majanga mengine.
 
Utaratibu huu hata RITA watalemewa, hebu fikiria wingi wa vijana wanaoomba vyuo, sehemu kubwa watahitaji vyeti vyao kuhakikiwa.
Mimi natamani hizi taasisi waje humu waseme ni kwa nini wanatesa watu hivi. Au wanataka kukatisha watu tamaa
 
Rita hakuna wanachokifanya ki ukweli wanataka wapige hela tu...hii sio haki na sio la kufumbiwa macho...hivi rundo la vijana waliopo JKT na mambo haya yanayoendelea maana yake nini....Hatuwezi kuvumulia hili.
 
yani nina siku 10 nimetuma cheti kwa email ila sijajibiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ndugu, inaonekana wengi wanalalamikia hii ya RITA na matatizo mengine mengi humu nimeona nafikiri hivi vikwazo vimewekwa ili kuwaengua hatua za awali kabisa kabla hata ya loan application kufika HESLB.
Deadline ni lini? maana mnaeza kushindwa hadi kufikia deadline matatizo yakawa hajatatuliwa na tukieleza wasomi wengi Tanzania ni mizigo na elimu yao haina faida tunaonekana tunawakejeli!
 
Pole sana ndugu, inaonekana wengi wanalalamikia hii ya RITA na matatizo mengine mengi humu nimeona nafikiri hivi vikwazo vimewekwa ili kuwaengua hatua za awali kabisa kabla hata ya loan application kufika HESLB.
Deadline ni lini? maana mnaeza kushindwa hadi kufikia deadline matatizo yakawa hajatatuliwa na tukieleza wasomi wengi Tanzania ni mizigo na elimu yao haina faida tunaonekana tunawakejeli!
04.09.2017
 
Pole sana ndugu, inaonekana wengi wanalalamikia hii ya RITA na matatizo mengine mengi humu nimeona nafikiri hivi vikwazo vimewekwa ili kuwaengua hatua za awali kabisa kabla hata ya loan application kufika HESLB.
Deadline ni lini? maana mnaeza kushindwa hadi kufikia deadline matatizo yakawa hajatatuliwa na tukieleza wasomi wengi Tanzania ni mizigo na elimu yao haina faida tunaonekana tunawakejeli!
yani deadline ya kutuma maombi ya mkopo ni trh 4 September ila RITA wanatuchelewesha. kwa kweli wasomi wa nchi hii ni mizigo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom