wakuu habari zenu.kwa wale mliofanikiwa kutuma uhakiki wa vyeti RITA.mimi nna kama week 2 nmetuma vyeti.lkn cha ajabu nkingia kwenye account yangu inaandka no record found ila wakat natuma walisema maomb yamepokelewa nisubilie majibu ndan ya sku tatu.
nyie upande wenu vp