Uhaba wa Sukari na kauli/ahadi tano za viongozi wetu

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
1. Sukari ya kuagizwa toka nje ya nchi marufuku. Vibali maalum vya kuagiza vitatolewa na Serikali kuu.

2. Bei elekezi ya sukari (ya Serikali) ni shilingi 1800 kwa kilo.

3. Serikali imeshaagiza sukari ya kutosha. Sehemu ya kwanza imeshawasili na imesambazwa mikoani kwa uwiano.

4. Sukari yoyote itakayokuwa imefichwa na wafanyabiashara,kwakuwa si sindano,itasakwa na kukamatwa.

5. Sukari itakayokamatwa ikiwa imefichwa itagawiwa bure kwa wananchi.

Bado sukari ni kizungumkuti nchini Tanzania. Tunachechema hivyohivyo tu!

Mzee Tupatupa wa ' Ulevini' Lumumba,Dar es Salaam
 
Sidhani kama ni kweli upo lumumba, mimi na wewe tunajua kua wewe si mwana ccm wala hujawahi kua mwanaccm zaidi ya kada wa ufipani.
 
Sidhani kama ni kweli upo lumumba, mimi na wewe tunajua kua wewe si mwana ccm wala hujawahi kua mwanaccm zaidi ya kada wa ufipani.
 
....mzee Tupa tupa wa "ulevini" Lumumba dsm!, kweli hiyo Lumumba ni kijiwe cha walevi,toka mseme mtagawa bure, huku tunaona kila leo mmekamata sukari sijui godown gani na gani lakini bado hamjatugawia hiyo sukari bure! au na nyie huko Lumumba mnaficha sukari nn?!
 
Back
Top Bottom