Uhaba wa Maji UDSM

Uhaba wa Maji UDSM

kirang'enta

Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
35
Reaction score
23
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa maji katika campus ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa takribani wiki moja sasa.

Hali hii inasababisha usumbufu mkubwa wa wanafunzi wafanyakazi na wakazi wote wa eneo hili.

Tunaomba wahusika wote kutatua tatizo hili mara moja kabla ya kulipuka madhara mengine yanayoweza sababishwa na upungufu huu mkubwa.
 
Tunaomba afanye ziara ya kushtukiza km alivyofanya Hazina na muhimbil
 
Ushauri wa bure; kwa wanaokaa off campus unatakiwa ukate gogo kabisa ukiwa huko huko off campus kabla ya kuja chuo, huku unaweza ukaadhirika, maji ya kuchambia hamna.
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana,ijapokua na wasomi wengi wa hydrolojia na enjinia maji Udsm lakini bado wanategemea maji ya dawasco na ya kununua toka visima binafsi.
Kweli elimu ya'mtanzania haimkomboi kwa chochote.
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana,ijapokua na wasomi wengi wa hydrolojia na enjinia maji Udsm lakini bado wanategemea maji ya dawasco na ya kununua toka visima binafsi.
Kweli elimu ya'mtanzania haimkomboi kwa chochote.

Umesahau kwamba elimu zetu ni za kutafutia kazi? Si dhani kama kuna Mtanzania ansoma kwamba aisaidie jamii, that is why unakuta chuo kama SUA wananunua chakula na chuo kimejaaa watalamu wa kilimo,
 
acha uongo kama hakuna maji mkiumwa panadol mnanywea nini
 
Umesahau kwamba elimu zetu ni za kutafutia kazi? Si dhani kama kuna Mtanzania ansoma kwamba aisaidie jamii, that is why unakuta chuo kama SUA wananunua chakula na chuo kimejaaa watalamu wa kilimo,
Mambo haya na mengine mengi ya ovyo yanapatikana TZ tu,hakika sisi ni vituko zaidi ya vituko show vya chanel 10.
 
Back
Top Bottom