Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,033
- 9,785
habari
nataka kujua huu ugonjwa wa utando mweupe dalili zake unapatikanaje na matibabu yake
source:
mwanamke anatokwa na utando or ute mweupe kwenye uke afu unawasha na baada ya siku kadhaa alipata michubuko kwenye uke...je huu ndo ugonjwa wenyewe au ni kawaida kwa wanawake kuwa hivyo
nataka kujua huu ugonjwa wa utando mweupe dalili zake unapatikanaje na matibabu yake
source:
mwanamke anatokwa na utando or ute mweupe kwenye uke afu unawasha na baada ya siku kadhaa alipata michubuko kwenye uke...je huu ndo ugonjwa wenyewe au ni kawaida kwa wanawake kuwa hivyo