Ugonjwa wa Sukari na Urijali.

ERoni

JF-Expert Member
Jan 9, 2013
43,613
89,977
Hili gonjwa la kisukari limekuwa tishio sana kwa binadamu.

Kuna misemo mingi tu kuwa eti kama mwanaume ana sukari uwezo wake wa kujamiiana/kumwingilia mwanamke unapungua au unaisha kabisa.

Tunaomba practical experience hapa:
-Hivi ni kweli kuwa mtu akiwa na sukari basi ni lazima abustiwe na mkewe?
-Hamu ya kumuingilia mke inakuja kama mawingu kipindi cha kiangazi? Na kama mke yupo mbali ni ngumu ku-maintain erection?
-Njia gani au dawa gani huwa wanatumia ili kurudisha heshima chumbani? Ama ni viagra na vumbi la Congo?
-Vipi kwa wanawake wenye sukari, hali kwao ikoje? Wanakosa hamu kama wanaume?
-Je, mwanamke wa karne hii anaweza kweli kumvumilia mumewe hasa kama anajua kabisa mume ana sukari inayoleta upungufu wa nguvu za kiume?

Mungu aepushie mbali haya maradhi, lakini muhimu sana tujitahidi kufuata kanuni muhimu za ulaji na lishe. Tusile tu ili mradi, hizi junk food, nk zitatumaliza wanaume.

Maradhi ya sukari na shinikizo la damu yamekuwa tishio kuliko hata ukimwi.
 
Hili gonjwa la kisukari limekuwa tishio sana kwa binadamu.

Kuna misemo mingi tu kuwa eti kama mwanaume ana sukari uwezo wake wa kujamiiana/kumwingilia mwanamke unapungua au unaisha kabisa.

Tunaomba practical experience hapa:
-Hivi ni kweli kuwa mtu akiwa na sukari basi ni lazima abustiwe na mkewe?
-Hamu ya kumuingilia mke inakuja kama mawingu kipindi cha kiangazi? Na kama mke yupo mbali ni ngumu ku-maintain erection?
-Njia gani au dawa gani huwa wanatumia ili kurudisha heshima chumbani? Ama ni viagra na vumbi la Congo?
-Vipi kwa wanawake wenye sukari, hali kwao ikoje? Wanakosa hamu kama wanaume?
-Je, mwanamke wa karne hii anaweza kweli kumvumilia mumewe hasa kama anajua kabisa mume ana sukari inayoleta upungufu wa nguvu za kiume?

Mungu aepushie mbali haya maradhi, lakini muhimu sana tujitahidi kufuata kanuni muhimu za ulaji na lishe. Tusile tu ili mradi, hizi junk food, nk zitatumaliza wanaume.

Maradhi ya sukari na shinikizo la damu yamekuwa tishio kuliko hata ukimwi.
Kisukari kinatokea pale kongosho inapozalisha insulin chache ukilingalisha na mahitaji. Sidhani kama kuna tiba ya moja kwa moja ya kutibu kisukari,ila ninachojua ni kwamba wagonjwa huwa wanatumia dawa ambayo inafanya kazi sawa sawa na insulin ya kubalance kiwango cha sukari mwilini. Ni vizuri kuzingatia ulaji mzuri ili kuepukana na ugonjwa huu japo kisukari hakisababishwi na ulaji wa vyakula venye sukari (kama kongosho yako ina uwezo wa kuzalisha insulin ya kutosha kukabiliana na kiwango cha sukari unachokula basi hutokua na ugonjwa huu)
 
Back
Top Bottom