Ugonjwa wa NIMONIA una tiba?

Ugonjwa wa NIMONIA una tiba?

Nenda hospitali ya Burhan kule posta dsm watakusaidia utapona

Kuna ndugu yangu alikua anaumwa kila hospitali wanaambiwa ni allergy hasa hizi local hospital wanatibu kimazoea sana

Nenda Burhaan au Hindu Mandal watachukua vipimo mpaka Xray then utapewa dawa utapona
Asante sana kwa ushauri

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Ila sasa inabidi usikae mazingira yenye hewa ya unyevunyevu, unapolala vaa sweta,

Karanga,pombe,soda ,juisi ,na hizi energy drink inabidi u stop kwa muda ka alivosema mdau huko juu

Pia awe ana deki chumba ,asilale karibu na dirishani usiku and on top awe anafanya mazoezi ya pumzi kingine amuombe MUNGU wake na hili nalo litapita tu
Asante

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom