Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,862
Kwani gridi nayo amepima?Nenda hospitali,hao bacteria ni hatari sana utaanza kukojoa usaha soon,after kupona achana na huyo gume gume! Grid ya taifa inakunyemelea!!
Kwani gridi nayo amepima?Nenda hospitali,hao bacteria ni hatari sana utaanza kukojoa usaha soon,after kupona achana na huyo gume gume! Grid ya taifa inakunyemelea!!
inj ceftriaxone 1g on five daysMpenzi wangu alikua anaumwa gono katibiwa bila kuniambia mimi sijui hili wala lile nikasex nae...
inj ceftriaxone 1g on five daysWadau mimi niliwahi kuukwaa huu ugonjwa mwaka juzi nikaenda hospitali nikatibiwa nikapona
Kuanzia hapo nikikutana tu na demu bila mpira lazma naupata tena, natumia dawa napona...
Hiyo dawa unakunywa kila siku kwa siku 5 ama unaigawa katika siku tanoinj ceftriaxone 1g on five days
doxy 100mg for five days
then ulete ushuhuda hapa
hawa wengine wafanya biashara achana nao