Sharahange
Member
- Nov 24, 2013
- 26
- 3
Habar wana jf!
Mwanangu anasumbuliwa na kifua/kukohoa kwa miaka miwili sasa na katumia dawa za aina nyingi hadi zimemuharibu meno lakini hajapona na hali yazidi kuwa tete!
msaada wana jf plz!
Mwanangu anasumbuliwa na kifua/kukohoa kwa miaka miwili sasa na katumia dawa za aina nyingi hadi zimemuharibu meno lakini hajapona na hali yazidi kuwa tete!
msaada wana jf plz!