Ugomvi wa mapenzi mtaani

Ugomvi wa mapenzi mtaani

man well

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2017
Posts
270
Reaction score
180
Hello!wadau mpo wazima,kwa upande wangu nipo gud.niende kwenye mada husika,kuna wapenzi wamegombana kisa mwanaume kabadilishiwa style na mpenzi wake ivyo anamshutumu kua kaanza kugongwa na muuni(mjuzi wa mahaba)cz kamuonesha k2 ambacho kidume hajawahi kumfanyia mpenzi wake huyo ktk mahusiano yao ya siku zote.Je kunasababu ya kidume hiki kulalama?
 
wewe ni mvulana eeehhh?? mwanaume hawezi hangaika na porojo kama hizo....jichunguze vema...
 
Uandishi wa mwendo kasi, ila huyo kidume hana sababu ya kulalama kama ameshindwa kuwajibika ipasavyo atulie tu demu wake amuonyeshe alichokuwa anafanyiwa na ma ex wake
 
Apokee tu mabadiliko ya style si watu wanajifunza mambo mapya kila kukicha na sio lazima afundishwe na mtu mwingine anaeza akawa kajifunza kupitia mitandaoni tu
 
mashine imeingizwa kwenye tope nini? hapo hata mimi ningeogopa
 
Uandishi wa mwendo kasi, ila huyo kidume hana sababu ya kulalama kama ameshindwa kuwajibika ipasavyo atulie tu demu wake amuonyeshe alichokuwa anafanyiwa na ma ex wake
Anaogopa mana heshima itapunguzwa kwake
 
Apokee tu mabadiliko ya style si watu wanajifunza mambo mapya kila kukicha na sio lazima afundishwe na mtu mwingine anaeza akawa kajifunza kupitia mitandaoni tu
Kwa mwanaume inakua ngumu mana anaona kama kadhalilishwa ju ya ilo.
 
Kitwmbo sana sijashuhudia ngumi naomba picha zao
 
Hello!wadau mpo wazima,kwa upande wangu nipo gud.niende kwenye mada husika,kuna wapenzi wamegombana kisa mwanaume kabadilishiwa style na mpenzi wake ivyo anamshutumu kua kaanza kugongwa na muuni(mjuzi wa mahaba)cz kamuonesha k2 ambacho kidume hajawahi kumfanyia mpenzi wake huyo ktk mahusiano yao ya siku zote.Je kunasababu ya kidume hiki kulalama?


aache ushamba kwani mwenzie hata majarida hasomi?? kuna vitabu siku hizi vinaelekeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom