Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 455
- 1,730
- Thread starter
-
- #41
Hawa watoto wote wangu nina uhakika ni copy kabisa kuanzia nywele au ukucha wa mguuInawezekana hapo hauna mtoto hata mmoja mkuu ndoa za mbali mnapigiwa sana wake zenu ndo maana anakuwa na jeuri
Hili suala la kuuza nyumba lilikuwepo kipindi flani nikamwambia usiuze ila mi nitasepa nikuachie nyumba yako na watotoMkuu wanawake akili zao zinawatosha wao
Believe me kama unavyosema huyo mwanamke anaweza kurubuniwa kwa kuwa jamaa yuko nae hapo kwa miaka kibao (mfano) anamla tu na mwanamke akipata talaka yake kwa ujinga anaweza kumtimua jamaa hapo
akauza nyumba ili wanunue kwingine jamaa akamzika mazima maana anamuona kama kahaba mmoja tu aliemfukuza mme wake akiwa kamzalia na watoto
Nani atamuamini mwanamke wa hivyo hapo jamaa kama ikitokea hivyo Adai watoto kisheria na atafute mwanamke wa kusaidia kulea nae
Kuna mwingine alilipiwa mahari na pete akavalishwa...akaja kumuacha jamaa na kumwambia siku hata akimtumia sms afe...kilichompata huko alikoenda sitaki hata kuelezea maana ni masikitiko makubwa.Eeeh ndo kauli zake hizi anaona bora awe msimbe na mdangaji kuliko kuwa na mimi[emoji2]
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hili nalo nenoKaisha zoea uhuru wa kuishi peke yake. Miaka tisa mpo mbalimbali! Ukienda na kujitia baba, mara ufuliwe, upikiwe nk nk anakuona kero tu. Uhuru wa kuwa bosi wa makazi yake umeshamlevya.
Dah eti abakie msimbe na mdangaji-itakuwa kakutana na ndefu nene.tunakaa mbalimbali miaka mingi nikimkosea kidogo anakimbilia kusema tuachane bora aishi mwenyewe awe msimbe na mdangaji.
Mrejesho ni kwamba sina hisia nae kabisa na kaondoka kurudi kazini kwake. Mawasiliano yamekua finyu sina hata mzuka wa kumpigia simu wala kumtumia smsDah eti abakie msimbe na mdangaji-itakuwa kakutana na ndefu nene.
Hebu tupe mrejesho mmefikia wapi?
Kasema bora awe msimbe na mdangaji ila anataka aishi mwenyewe na hii kauli yake kila tukiwa na kimgogoro