Uganda yavamia ardhi ya Sudan ya Kusini na DRC

Uganda yavamia ardhi ya Sudan ya Kusini na DRC

nyabhera

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2011
Posts
663
Reaction score
735
Laana ya kupenda kuhamisha mipaka na kupanua ardhi yao bado inaiandama nchi ya Uganda.

Tangu October 1, 2023 kumekuwepo na tafurani ya mipaka kati ya Uganda na Sudani ya Kusini na DRC.

Hoja zinataja kuwa bila mawasiliano yoyote Uganda wamehamisha alama za mipaka na kuingia katika mataifa hayo kwa umbali wa kilomita 8.
767708805.jpg
836546424.jpg


Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Uganda kwa asili ni wakorofi, wasogeze na Tanzania tuone.
 
Hoja zinataja kuwa bila mawasiliano yoyote Uganda wamehamisha alama za mipaka na kuingia katika mataifa hayo kwa umbali wa kilomita 8.
🤣 😁 mwenzao amewaambia hayupo tayari kupoteza hata mita moja yeye ameenda mita 7999 zaidi
 
Back
Top Bottom