Uganda yakubali kupokea wahamiaji kutokea Marekani. Wapinzani wakosoa uamuzi huo

Uganda yakubali kupokea wahamiaji kutokea Marekani. Wapinzani wakosoa uamuzi huo

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Uganda imekubaliana na Marekani kupokea wahamiaji watakaorudishwa iwapo hawana rekodi za uhalifu na si watoto waliotengwa, ingawa masharti kamili bado yanajadiliwa. Serikali ya Uganda inapendelea wahamiaji hao wawe raia wa nchi za Afrika.

Kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Waziri Marco Rubio amezungumza kwa simu na Rais Yoweri Museveni kuhusu uhamiaji, biashara na usalama wa kikanda.

Hata hivyo, makundi ya haki za binadamu yamepinga mpango huo, yakisema unaweza kukiuka sheria za kimataifa, huku wanasiasa wa upinzani wakionya kuwa serikali inautumia kupata uhalali kisiasa kuelekea uchaguzi wa 2026.

=================================

Uganda has agreed to take in nationals from third countries who may not get asylum in the United States but do not wish to return to their countries of origin, Kampala’s Ministry of Foreign Affairs said.

The ministry said on Thursday that the agreement is based on the conditions that those seeking asylum do not have criminal records and that they are not unaccompanied minors, adding that details of the deal are still being worked out.

US President Donald Trump aims to deport millions of undocumented immigrants, with his administration seeking to increase removals to third countries, including by sending convicted criminals to South Sudan and the southern African kingdom of Eswatini.

At roughly 1.7 million, Uganda already hosts the largest refugee population in Africa, according to the United Nations, and is the latest East African country to announce such a deal with Washington, joining Rwanda and South Sudan.

“This is a temporary arrangement with conditions including that individuals with criminal records and unaccompanied minors will not be accepted,” Vincent Bagiire Waiswa, the ministry’s permanent secretary, said in a statement.

He also stated Uganda’s preference that “individuals from African countries shall be the ones transferred to Uganda”.

“The two parties are working out the detailed modalities on how the agreement shall be implemented,” he said.

It was not clear if the agreement had been signed, but the ministry statement said it had been “concluded”.

The announcement comes a day after a senior Ugandan official denied media reports saying that the country had agreed to take in people deported from the US, saying it lacked the facilities to accommodate them.

Source: Al Jazeera
 
Uganda imekubaliana na Marekani kupokea wahamiaji watakaorudishwa iwapo hawana rekodi za uhalifu na si watoto waliotengwa, ingawa masharti kamili bado yanajadiliwa. Serikali ya Uganda inapendelea wahamiaji hao wawe raia wa nchi za Afrika.

Kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Waziri Marco Rubio amezungumza kwa simu na Rais Yoweri Museveni kuhusu uhamiaji, biashara na usalama wa kikanda.

Hata hivyo, makundi ya haki za binadamu yamepinga mpango huo, yakisema unaweza kukiuka sheria za kimataifa, huku wanasiasa wa upinzani wakionya kuwa serikali inautumia kupata uhalali kisiasa kuelekea uchaguzi wa 2026.

=================================

Uganda has agreed to take in nationals from third countries who may not get asylum in the United States but do not wish to return to their countries of origin, Kampala’s Ministry of Foreign Affairs said.

The ministry said on Thursday that the agreement is based on the conditions that those seeking asylum do not have criminal records and that they are not unaccompanied minors, adding that details of the deal are still being worked out.

US President Donald Trump aims to deport millions of undocumented immigrants, with his administration seeking to increase removals to third countries, including by sending convicted criminals to South Sudan and the southern African kingdom of Eswatini.

At roughly 1.7 million, Uganda already hosts the largest refugee population in Africa, according to the United Nations, and is the latest East African country to announce such a deal with Washington, joining Rwanda and South Sudan.

“This is a temporary arrangement with conditions including that individuals with criminal records and unaccompanied minors will not be accepted,” Vincent Bagiire Waiswa, the ministry’s permanent secretary, said in a statement.

He also stated Uganda’s preference that “individuals from African countries shall be the ones transferred to Uganda”.

“The two parties are working out the detailed modalities on how the agreement shall be implemented,” he said.

It was not clear if the agreement had been signed, but the ministry statement said it had been “concluded”.

The announcement comes a day after a senior Ugandan official denied media reports saying that the country had agreed to take in people deported from the US, saying it lacked the facilities to accommodate them.

Source: Al Jazeera
kobazi muwarudishe kwao wakauane vizuri kusaka bikra
 
Back
Top Bottom