Uganda Vs Rwanda kimenuka

Tatizo nikwamba PK hataki kutambua kwamba he can't rule Rwanda kwa amani bila Uganda na pia kujua kwamba Rwanda nikama future province ya Uganda....kumbuka wanyarwanda wanao ishi Uganda wanakaribia idadi ya Wanyarwada wanao ishi Rwanda na nikabila linalo tambulia na katiba ya Uganda.....kwahiyo M7 ana reserve force yakutosha kumuondawa PK kwakutumia wanyarwanda wenyewe PK should play is political cards very well....... otherwise he may disappear from the region

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu na bro wake hao. JPM keshamaliza mchezo, Rwanda imeondoa majeshi mpakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jeshi la Rwanda halijawahi kua tishio kwa Jeshi la Uganda hata siku moja ndomaana M7 alidharau hata police wa kawaida au mgambo hakuwapaeleka mpakani wa Rwanda.....kwanza kabisa wanajeshi wa Rwanda 70% hawajui munyarwada vizri wanaongee Kiganda, Wengi familia zao ziko Uganda wengi wametokea jeshi la Uganda wengi wanawakika wa kukaa Uganda kuliko Rwanda, Uganda na Rwanda ni zaidi ya ndungu asie jua hao watu kama JPM ndo atakaepotaza mda wake eti anawapatanisha, wana mchora akili kujifanya eti ndo chief diplomant wa region.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana PK kazungumzia swala la kudorora kwa mahusiano baina ya nchi mbili za rwanda na uganda !! kiukweli kuna changamoto

pitia haka ka link uone namna shida ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…